Hodini humu jamani

hodi gani hiyo karina mpaka chumbani mpendwa?
wewe huoni bado tunavaa misuli hapa..............?

anyway, pitia basi mlango ule wa uani kuna mtu atakupokea huko!!!!!!!
Asante wmaya mi naingia ila nitakayoyaona nitayaacha hapo hapo usiwe na wasi was
 
mwe labda anaona hamna faida anafua wanachafua wengine tu!
A%20S%20114.gif
 
karina ulibisha hodi, twakufungulia kumbe umeshaondoka. Umerudi tena? Karibu bwana!
 
Back
Top Bottom