Karina Member Jun 17, 2011 51 16 Jun 20, 2011 Thread starter #21 bacha said: hodi gani hiyo karina mpaka chumbani mpendwa? wewe huoni bado tunavaa misuli hapa..............? anyway, pitia basi mlango ule wa uani kuna mtu atakupokea huko!!!!!!! Click to expand... Asante wmaya mi naingia ila nitakayoyaona nitayaacha hapo hapo usiwe na wasi was
bacha said: hodi gani hiyo karina mpaka chumbani mpendwa? wewe huoni bado tunavaa misuli hapa..............? anyway, pitia basi mlango ule wa uani kuna mtu atakupokea huko!!!!!!! Click to expand... Asante wmaya mi naingia ila nitakayoyaona nitayaacha hapo hapo usiwe na wasi was
Karina Member Jun 17, 2011 51 16 Jun 20, 2011 Thread starter #22 Gaga said: Angalia mkono wako wa kulia kwenye kila post kumeandikwa reply with quote ubofye hapo kama unamjibu mtu post yake, sawaaa eeee mama Click to expand... Asante mama nimeshaona asante sana
Gaga said: Angalia mkono wako wa kulia kwenye kila post kumeandikwa reply with quote ubofye hapo kama unamjibu mtu post yake, sawaaa eeee mama Click to expand... Asante mama nimeshaona asante sana
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,009 10,637 Jun 20, 2011 #23 Karibu sana,mbona mkwara mkubwa?
giningi Member Jun 12, 2011 52 27 Jun 20, 2011 #24 mwe labda anaona hamna faida anafua wanachafua wengine tu!
Gagurito JF-Expert Member Feb 11, 2011 5,600 803 Jun 20, 2011 #25 karina ulibisha hodi, twakufungulia kumbe umeshaondoka. Umerudi tena? Karibu bwana!