Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Wakati ndio sasa'
- Wa kuwang'oa madarakani wale wezi wote wa kodi zetu
- wa kusema hapana kwa CCM
- wa kufanya mabadiliko ya kweli ndani ya nchi yetu
- wa kutokupangiwa nini cha kuongea na nini hatupaswi kuongea hasa katika mchakato wa katba mpya
- wa kuanza kujongea kuelekea magogoni kudai haki yetu
- wa kutokubaki nyuma katika kuutafuta ukombozi wa kweli kutoka kwenye mikono ya mafisadi
Naombeni mmnipokee wanajamvi hata kama ujumbe niliokuja nao utawakwaza
- Wa kuwang'oa madarakani wale wezi wote wa kodi zetu
- wa kusema hapana kwa CCM
- wa kufanya mabadiliko ya kweli ndani ya nchi yetu
- wa kutokupangiwa nini cha kuongea na nini hatupaswi kuongea hasa katika mchakato wa katba mpya
- wa kuanza kujongea kuelekea magogoni kudai haki yetu
- wa kutokubaki nyuma katika kuutafuta ukombozi wa kweli kutoka kwenye mikono ya mafisadi
Naombeni mmnipokee wanajamvi hata kama ujumbe niliokuja nao utawakwaza