habari wana jf..poleni na majukumu ya kila siku na pilika pilika za hapa na pale katika maisha haya..mimi ni mgeni humu japo nmekua nikipitia pitia baadhi ya nyuzi uku ndani kwa muda kidgo..naomba kukaribishwa kama member wa umu ndani..kwa ajili ya kishare na kuombana ushauri kwenye mambo mbali mbali ya dunuani. ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app