mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 251
wanajukwaa leo naingia rasmi jukwaani naomba mnipokee, nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali jamvini kwa muda mrefu, nimeona nami kuna haja ya kujisajili ili nipate nafasi ya kushare mambo mbalimbali na wana jamii wenzangu hapa jukwaani,