The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Kwa kweli nimefurahishwa na mada zinazozungumziwa humu ndani na pia member s mbali mbali wanaotoa michango yao yenye kusaidia na kuelimisha mawazo na maoni yenu ndiyo yamejifanya nijiunge kwenye hii familia kubwa nilikuwa mpita lakini nikaona hapana bora nijenge kabisa kibanda natumaini mtanipokea kwa mikono miwili nashukuru sana.
Karibu sana The Finest. Jisikie uko gesti!
karib sana the finest.
Halafu wewe ngoja nikikukamata lazima nikupake upupukarib sana the finest.
:usa2::usa2::usa2::usa2:Hivi karibu The Finest :wink2:
Dah!!!! Hivi mzima wewe kweli halafu hiyo avatar yako banaa mimi hapana kabisa l.o.lKaribu sana... Naona hekima inazidi.. Hongera sana KIJANA umetoka mbali..
:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:mimi nipo bwana mzima kabisa... hiyo avatar ni kwa ajili ya harti brekaz kama wewe...
:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:mimi nipo bwana mzima kabisa... hiyo avatar ni kwa ajili ya harti brekaz kama wewe...
:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:
:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:Sasa hiyo hapo chini ndiyo inamaana gani?? :confused2:
:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
gesti za dar zote wageni ni wenyeji!Karibu sana The Finest. Jisikie uko gesti!