Hodi wana board

The Mig

Senior Member
Jan 7, 2017
131
215
Nimekuwa msomaji wa hii forum kwa zaidi ya miaka minne bila kuwa mwanachama.

Leo najiunga rasmi ili nishiriki ktk kutoa na kupokea mawazo na fikra pevu.

Nawaombeni mnipokee wadau.

 
Kuna wana board mashughuli nikaribisheni nisikie sauti zenu.
(jingalao, erythromycyline, the bold, mjomba lizaboni, mcubic, technician/technically n.k)

Majina niliyomeza yamenipotea km fake ya maths
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom