Vinc Member May 15, 2011 19 0 May 16, 2011 #1 Hodi hodi hapa jamvini,ndugu yenu mgeni hapa,naomba kuingia ndani,kumbukeni kuku mgeni hakoso kamba mguuni,hivyo nikikosea naomba kuelekezwa!
Hodi hodi hapa jamvini,ndugu yenu mgeni hapa,naomba kuingia ndani,kumbukeni kuku mgeni hakoso kamba mguuni,hivyo nikikosea naomba kuelekezwa!
M mdau wetu JF-Expert Member Apr 20, 2011 548 58 May 16, 2011 #4 karibu sana vinc, jisikio uko nyumbani na jamvi ni lako wala hukuazima
Vinc Member May 15, 2011 19 0 May 16, 2011 Thread starter #6 Preta said: karibu sana.... Click to expand... asante preta shakaribia!
Vinc Member May 15, 2011 19 0 May 16, 2011 Thread starter #7 mtemiwaWandamba said: Karibu sana Vinc Jamvini. Click to expand... asante mtemi!
Vinc Member May 15, 2011 19 0 May 16, 2011 Thread starter #8 mdau wetu said: karibu sana vinc, jisikio uko nyumbani na jamvi ni lako wala hukuazima Click to expand... tuko pamoja sana ndugu yangu!
mdau wetu said: karibu sana vinc, jisikio uko nyumbani na jamvi ni lako wala hukuazima Click to expand... tuko pamoja sana ndugu yangu!
Vinc Member May 15, 2011 19 0 May 16, 2011 Thread starter #9 Ulimakafu said: Karibu sana JF. Click to expand... asante sana kiongozi!
God bell JF-Expert Member May 13, 2011 590 210 May 16, 2011 #11 Ukiona vyaelea vimeumbwa, hili jamvi limeumbwa. Karibu sana.Tutakusaidia na kukupa ushauri bure bila malipo.
Ukiona vyaelea vimeumbwa, hili jamvi limeumbwa. Karibu sana.Tutakusaidia na kukupa ushauri bure bila malipo.
Officer2009 JF-Expert Member Dec 20, 2010 560 110 May 16, 2011 #14 Na mimi ni mgeni kama wewe. Naomba nielekezwe jinsi ya kuanzisha/kuandika thread. Msaada jamani, si mnajua ugeni ulivyo?
Na mimi ni mgeni kama wewe. Naomba nielekezwe jinsi ya kuanzisha/kuandika thread. Msaada jamani, si mnajua ugeni ulivyo?
Sigma JF-Expert Member Feb 26, 2011 5,006 1,254 May 16, 2011 #15 Vinc said: ,kumbukeni kuku mgeni hakoso kamba mguuni,hivyo nikikosea naomba kuelekezwa Click to expand... haya rekebisha hapo pekundu. jaribu jf
Vinc said: ,kumbukeni kuku mgeni hakoso kamba mguuni,hivyo nikikosea naomba kuelekezwa Click to expand... haya rekebisha hapo pekundu. jaribu jf
S Sharo hiphop JF-Expert Member May 17, 2011 660 99 May 17, 2011 #17 Mpevu said: You are welcum, Click to expand... karibu.
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,078 May 18, 2011 #18 Vinc said: Hodi hodi hapa jamvini,ndugu yenu mgeni hapa,naomba kuingia ndani,kumbukeni kuku mgeni hakoso kamba mguuni,hivyo nikikosea naomba kuelekezwa! Click to expand... Ugeni tunakuvua rasmi hivyo sasa tayari wewe ni mwenyeji...lol Vinc karibu JF.
Vinc said: Hodi hodi hapa jamvini,ndugu yenu mgeni hapa,naomba kuingia ndani,kumbukeni kuku mgeni hakoso kamba mguuni,hivyo nikikosea naomba kuelekezwa! Click to expand... Ugeni tunakuvua rasmi hivyo sasa tayari wewe ni mwenyeji...lol Vinc karibu JF.