hodi ndan jaman nitapata dalali nataka chumba

Jan 24, 2012
8
0
jaman....kweli nimevutiwa na jukwaa hili...kiukweli nataka kua mmoja wa wa family hii ili tuweze kubadirisha mawazo na kujengeana hojaaa mbalimbali za maisha.
 
Duh!.......kichwa panzi! karibu sana mkuu, mi ndo dalali mkuu ila sema we ni ME au KE.
 
Back
Top Bottom