Akami
Member
- Sep 18, 2009
- 82
- 14
Ninafuraha sana mimi pia kuwa mwanafamiliya ya WanaJAMII,naombeni mnipokee jamani.
Nimekuwa nikisoma makala na maoni mbalimbali kupitia safu hii,HONGERENI NA AHSANTENI SANA KWA WOTE mnaotoa michango na kufanikisha forum hii iendelee kuwa hewani,pia SHUKRANI kwa wote mnaochangia mijadala mbalimbali na kuandika makala mbalimbali katika forum hii.Ukweli,binafsi mawazo yenu yamenifungua sana macho!Hakuna ubishi,"JAMII FORUM IS A PLACE FOR THE GREAT THINKERS"
Nimekuwa nikisoma makala na maoni mbalimbali kupitia safu hii,HONGERENI NA AHSANTENI SANA KWA WOTE mnaotoa michango na kufanikisha forum hii iendelee kuwa hewani,pia SHUKRANI kwa wote mnaochangia mijadala mbalimbali na kuandika makala mbalimbali katika forum hii.Ukweli,binafsi mawazo yenu yamenifungua sana macho!Hakuna ubishi,"JAMII FORUM IS A PLACE FOR THE GREAT THINKERS"