Hodi hodi wanachitchat!!

Hodi hodi wanachitchat!!

shabiki

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
965
Reaction score
896
Nilipokimbia fb niliigia humu JF nikajikuta jukwaa la siasa nikafikiri kwamba huo ndio uzuri wa JF.nyuzi za uhakika.lakini nikashangaa pale huwezi kuweka kitu bila kupewa za uso, makavu live.halafu kuna watawala wake pale.utawakuta wakina ze marcoporo,chama,ben saanane,habib, na wengine wengi tu.kumbe kuna watu wanalipwa kwa kazi ile ya kueneza sera za chama?!
Nikapita majukwaa mengine JF doctor wakina mzizi mkavu ndo watemi kule,sikumwona lady doctor kule!kupita jukwaa la elimu nikawaona makanjanja wengi tu mle ndan,kwenda kwa magreat thinkers kumbe na magreat sinkers wamo wamejaa.kufika kwenye jokes na utani nyuzi nyingine unaambiwa usifungue ukifungua unakutana na tusi.
Si ndio nikakimbilia chitchat na MMU,huku naona mambo poa,kuna wazee wa hekima kina watu8,baba v,vijana wenzangu wakina stevoh,mr rocky,kabanga,bishanga,kaizer,manoah,chimbuvu na eric52(ila huyu ana tabia mbaya nasikia),totoz za ukweli kina heaven on earth,passion lady,lady furaha,mamaza wanaojua kulea kama mamdenyina mama JJ. couples za uhakika kama ilivyokuwa ya slave na evelynsalt,party kali kama white party na ndugu kibao.
Nimekuwa natembilea tu humu,wakuu mi sina hata PM moja,hivi hilo eneo huwa linatumika kweli ?nithibitishieni basi,hata undugu kama wa shettah nipeni tu,nimeupenda huu mchezo naombeni namba,nimechoka kuwa shabiki!
Nawasilisha!
 
Last edited by a moderator:
Lazima atakuwa ni yahaya
mgeni gani ana maneno lukuki kama hivyo;

Amesema hajui pm naenda kuhakikisha.

Ngoja nikusaidie kuwaita wakuu wa humu waje kwa haraka wakukaribishe akina watu8, Mamndenyi, Bishanga, The secretary, Erickb52, stevoh, kiwatengu, Baba V ambaye ndio life chairman wa CC, binamu zangu Madame B, Paloma, Passion Lady, Zion Daughter, ladyfurahia, Evelyn Salt, Lady doctor, charminglady Blaki Womani amu, Chocs marejesho namumewe Filipo,
Kaka wakubwa Asprin, Ruttashobolwa, Judgment Chimbuvu, nitonye na wengineo ngoja waje
 
hee huyu mgeni wa leo ni majanga tu humu cc
Nilipokimbia fb niliigia humu JF nikajikuta jukwaa la siasa nikafikiri kwamba huo ndio uzuri wa JF.nyuzi za uhakika.lakini nikashangaa pale huwezi kuweka kitu bila kupewa za uso, makavu live.halafu kuna watawala wake pale.utawakuta wakina ze marcoporo,chama,ben saanane,habib, na wengine wengi tu.kumbe kuna watu wanalipwa kwa kazi ile ya kueneza sera za chama?!
Nikapita majukwaa mengine JF doctor wakina mzizi mkavu ndo watemi kule,sikumwona lady doctor kule!kupita jukwaa la elimu nikawaona makanjanja wengi tu mle ndan,kwenda kwa magreat thinkers kumbe na magreat sinkers wamo wamejaa.kufika kwenye jokes na utani nyuzi nyingine unaambiwa usifungue ukifungua unakutana na tusi.
Si ndio nikakimbilia chitchat na MMU,huku naona mambo poa,kuna wazee wa hekima kina watu8,baba v,vijana wenzangu wakina stevoh,mr rocky,kabanga,bishanga,kaizer,manoah,chimbuvu na eric52(ila huyu ana tabia mbaya nasikia),totoz za ukweli kina heaven on earth,passion lady,lady furaha,mamaza wanaojua kulea kama mamdenyina mama JJ. couples za uhakika kama ilivyokuwa ya slave na evelynsalt,party kali kama white party na ndugu kibao.
Nimekuwa natembilea tu humu,wakuu mi sina hata PM moja,hivi hilo eneo huwa linatumika kweli ?nithibitishieni basi,hata undugu kama wa shettah nipeni tu,nimeupenda huu mchezo naombeni namba,nimechoka kuwa shabiki!
Nawasilisha!
 
Ngoja nikusaidie kuwaita wakuu wa humu waje kwa haraka wakukaribishe akina watu8, Mamndenyi, Bishanga, The secretary, Erickb52, stevoh, kiwatengu, Baba V ambaye ndio life chairman wa CC, binamu zangu Madame B, Paloma, Passion Lady, Zion Daughter, ladyfurahia, Evelyn Salt, Lady doctor, charminglady Blaki Womani amu, Chocs marejesho namumewe Filipo,
Kaka wakubwa Asprin, Ruttashobolwa, Judgment Chimbuvu, nitonye na wengineo ngoja waje

abeeee Mr Rocky anabisha hodi wakati ameshaingia....... we ni KE au ME
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikusaidie kuwaita wakuu wa humu waje kwa haraka wakukaribishe akina watu8, Mamndenyi, Bishanga, The secretary, Erickb52, stevoh, kiwatengu, Baba V ambaye ndio life chairman wa CC, binamu zangu Madame B, Paloma, Passion Lady, Zion Daughter, ladyfurahia, Evelyn Salt, Lady doctor, charminglady Blaki Womani amu, Chocs marejesho namumewe Filipo,
Kaka wakubwa Asprin, Ruttashobolwa, Judgment Chimbuvu, nitonye na wengineo ngoja waje

huyu mgeni ninawasiwasi nae, mwambie mi sitibu kwa maneno natibu kwa vitendo ndio maana anioni Jf doctor.
 
Last edited by a moderator:
Nilipokimbia fb niliigia humu JF nikajikuta jukwaa la siasa nikafikiri kwamba huo ndio uzuri wa JF.nyuzi za uhakika.lakini nikashangaa pale huwezi kuweka kitu bila kupewa za uso, makavu live.halafu kuna watawala wake pale.utawakuta wakina ze marcoporo,chama,ben saanane,habib, na wengine wengi tu.kumbe kuna watu wanalipwa kwa kazi ile ya kueneza sera za chama?!
Nikapita majukwaa mengine JF doctor wakina mzizi mkavu ndo watemi kule,sikumwona lady doctor kule!kupita jukwaa la elimu nikawaona makanjanja wengi tu mle ndan,kwenda kwa magreat thinkers kumbe na magreat sinkers wamo wamejaa.kufika kwenye jokes na utani nyuzi nyingine unaambiwa usifungue ukifungua unakutana na tusi.
Si ndio nikakimbilia chitchat na MMU,huku naona mambo poa,kuna wazee wa hekima kina watu8,baba v,vijana wenzangu wakina stevoh,mr rocky,kabanga,bishanga,kaizer,manoah,chimbuvu na eric52(ila huyu ana tabia mbaya nasikia),totoz za ukweli kina heaven on earth,passion lady,lady furaha,mamaza wanaojua kulea kama mamdenyina mama JJ. couples za uhakika kama ilivyokuwa ya slave na evelynsalt,party kali kama white party na ndugu kibao.
Nimekuwa natembilea tu humu,wakuu mi sina hata PM moja,hivi hilo eneo huwa linatumika kweli ?nithibitishieni basi,hata undugu kama wa shettah nipeni tu,nimeupenda huu mchezo naombeni namba,nimechoka kuwa shabiki!
Nawasilisha!

Karibu sana shabiki , ukitaka mchumba nione...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom