Hodi hodi wanachitchat!!

Hodi hodi wanachitchat!!

Ahahahahahaha

Makubwa....nani kakwambia my mume Erickb52 ana tabia mbaya!! aisee watch out..hehehe,lol
Nilipokimbia fb niliigia humu JF nikajikuta jukwaa la siasa nikafikiri kwamba huo ndio uzuri wa JF.nyuzi za uhakika.lakini nikashangaa pale huwezi kuweka kitu bila kupewa za uso, makavu live.halafu kuna watawala wake pale.utawakuta wakina ze marcoporo,chama,ben saanane,habib, na wengine wengi tu.kumbe kuna watu wanalipwa kwa kazi ile ya kueneza sera za chama?!
Nikapita majukwaa mengine JF doctor wakina mzizi mkavu ndo watemi kule,sikumwona lady doctor kule!kupita jukwaa la elimu nikawaona makanjanja wengi tu mle ndan,kwenda kwa magreat thinkers kumbe na magreat sinkers wamo wamejaa.kufika kwenye jokes na utani nyuzi nyingine unaambiwa usifungue ukifungua unakutana na tusi.
Si ndio nikakimbilia chitchat na MMU,huku naona mambo poa,kuna wazee wa hekima kina watu8,baba v,vijana wenzangu wakina stevoh,mr rocky,kabanga,bishanga,kaizer,manoah,chimbuvu na eric52(ila huyu ana tabia mbaya nasikia),totoz za ukweli kina heaven on earth,passion lady,lady furaha,mamaza wanaojua kulea kama mamdenyina mama JJ. couples za uhakika kama ilivyokuwa ya slave na evelynsalt,party kali kama white party na ndugu kibao.
Nimekuwa natembilea tu humu,wakuu mi sina hata PM moja,hivi hilo eneo huwa linatumika kweli ?nithibitishieni basi,hata undugu kama wa shettah nipeni tu,nimeupenda huu mchezo naombeni namba,nimechoka kuwa shabiki!
Nawasilisha!
 
Last edited by a moderator:
Binamu nimekuja
shabiki karibu sana
Ngoja nikusaidie kuwaita wakuu wa humu waje kwa haraka wakukaribishe akina watu8, Mamndenyi, Bishanga, The secretary, Erickb52, stevoh, kiwatengu, Baba V ambaye ndio life chairman wa CC, binamu zangu Madame B, Paloma, Passion Lady, Zion Daughter, ladyfurahia, Evelyn Salt, Lady doctor, charminglady Blaki Womani amu, Chocs marejesho namumewe Filipo,
Kaka wakubwa Asprin, Ruttashobolwa, Judgment Chimbuvu, nitonye na wengineo ngoja waje
 
Last edited by a moderator:
mbona unafanana na mwenyeji ? your warmly welcome.
 

binamu i mic u!!
mwambie mgeni akaribie
wenyeji wapone,ac yake ya m-pesa
isome kwa ajili ya kutakrimu wenyeji!!
 
Ahahahahahaha

Makubwa....nani kakwambia my mume Erickb52 ana tabia mbaya!! aisee watch out..hehehe,lol

chocs kuna raia aliwahi kusema humu kuwa ile 52 kwenye avator yake ni idadi ya dates wake!kama mi mwongo mwite mwenyewe aje aseme!
 
Last edited by a moderator:
shabiki , ambacho hujakigusia ni pia hapa unaweza hata ukaoga uani ukiwa chuku wa chuku , na asikuulize mtu chochote!
 
Last edited by a moderator:
Kuna wengine huwa hatubishi hodi, pipin ni katabia ketu. Ila sina wasi wasu kwa kuwa voda wameniambia ktk m-pesa yng nimefikia kiwango cha juu cha kuhifadhi money
 
Karibu mgen jamvini. Ungependelea kinywaji gani
 
wewe peke yako ndio hujui...au tuweke picha hapa?

Ahahahahahaha

Makubwa....nani kakwambia my mume Erickb52 ana tabia mbaya!! aisee watch out..hehehe,lol
 
Last edited by a moderator:
Kuna wengine huwa hatubishi hodi, pipin ni katabia ketu. Ila sina wasi wasu kwa kuwa voda wameniambia ktk m-pesa yng nimefikia kiwango cha juu cha kuhifadhi money

sio tabia nzuri mkuu,vinginevyo hiyo avatar hapo juu haikufai.
 
Ngoja nikusaidie kuwaita wakuu wa humu waje kwa haraka wakukaribishe akina watu8, Mamndenyi, Bishanga, The secretary, Erickb52, stevoh, kiwatengu, Baba V ambaye ndio life chairman wa CC, binamu zangu Madame B, Paloma, Passion Lady, Zion Daughter, ladyfurahia, Evelyn Salt, Lady doctor, charminglady Blaki Womani amu, Chocs shmarejesho namumewe Filipo,
Kaka wakubwa Asprin, Ruttashobolwa, Judgment Chimbuvu, nitonye na wengineo ngoja waje
shukran mkuu umewaita,wamekuja na nimewaona!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom