Hodi hodi wanachitchat!!

Hodi hodi wanachitchat!!

Karibu sana shabiki huku utakutana na wake zangu Madame B , mama yangu Mamndenyi ama Mrs Bishanga ama sijamaanisha hivo hao wote na SECRETARY ni mamrs thesecretary Bishanga
salamu kwako The secretary ila kumbuka
I SUPPORT ISRAEL


Ngoja nikusaidie kuwaita wakuu wa humu waje kwa haraka wakukaribishe akina watu8, Mamndenyi, Bishanga, The secretary, Erickb52, stevoh, kiwatengu, Baba V ambaye ndio life chairman wa CC, binamu zangu Madame B, Paloma, Passion Lady, Zion Daughter, ladyfurahia, Evelyn Salt, Lady doctor, charminglady Blaki Womani amu, Chocs marejesho namumewe Filipo,
Kaka wakubwa Asprin, Ruttashobolwa, Judgment Chimbuvu, nitonye na wengineo ngoja waje
 
Last edited by a moderator:
Hodi hodi jamani, nimesikia makelele nikasema ngoja nisogee niulize kulikoni, kumbe! Huku maraha tu. Naombeni mnipokee.
 
Umeamua kuingia katikati
kweli u mkali;
Mtafute mkaguzi anaitwa Asprin ili akupe kadi ya kuingia humu
Karibu mwaya.

Hodi hodi jamani, nimesikia makelele nikasema ngoja nisogee niulize kulikoni, kumbe! Huku maraha tu. Naombeni mnipokee.
 
Last edited by a moderator:
Mi pia mgeni naombeni mwongozo.manake naona kuna wengine wamenadi kuwa kuna vimwana ambao wapo tayari tayari......
 
Ndicho kilicho kuleta huku, vimwana hata kukaribishwa bado umeshaonyesha hisia zako. Mhhh sijui tusubiri wakubwa zetu tuone watakavyo kupokea.
 
Back
Top Bottom