MCHUMA MBOGA
Member
- Mar 29, 2012
- 18
- 10
Hatimaye leo nimeamua kubisha hodi rasmi ndani ya JF ili nami niwe mwanafamilia baada ya kuwa guest wa JF kwa muda mrefu ambapo nilipata fursa ya kufuatilia posts mbalimbali zenye hoja. Natarajia kupata ushirikiano wenu. Asanteni.