Hodi hodi wana jf

MCHUMA MBOGA

Member
Mar 29, 2012
18
10
Hatimaye leo nimeamua kubisha hodi rasmi ndani ya JF ili nami niwe mwanafamilia baada ya kuwa guest wa JF kwa muda mrefu ambapo nilipata fursa ya kufuatilia posts mbalimbali zenye hoja. Natarajia kupata ushirikiano wenu. Asanteni.
 
Hatimaye leo nimeamua kubisha hodi rasmi ndani ya JF ili nami niwe mwanafamilia baada ya kuwa guest wa JF kwa muda mrefu ambapo nilipata fursa ya kufuatilia posts mbalimbali zenye hoja. Natarajia kupata ushirikiano wenu. Asanteni.

Karibu saaana! Ila mgeni wetu umekosea njia, hapa sio mahala pake, ulitakiwa uanzie mapokezi kupiga hodi, baada ya kukaribisha ndo unaweza kuja mpaka huku chumbani.
 
Hatimaye leo nimeamua kubisha hodi rasmi ndani ya JF ili nami niwe mwanafamilia baada ya kuwa guest wa JF kwa muda mrefu ambapo nilipata fursa ya kufuatilia posts mbalimbali zenye hoja. Natarajia kupata ushirikiano wenu. Asanteni.

Kama kila mtu anayeingia atabisha hodi kuwa ameingia badala ya kuingia na mada muda wote utakuwa ni kupokea wageni na kupoteza muda kama magamba au na wewe ni mmoja wao kwasababu mnakuja na majina kama la baharia wakati kumbe ni mitoto ya mafisadi mnaijua wakati inataka kugombea uongozi inabadili ID kuweka jina halisi mfano wale wa East Africa
 
Kama kila mtu anayeingia atabisha hodi kuwa ameingia badala ya kuingia na mada muda wote utakuwa ni kupokea wageni na kupoteza muda kama magamba au na wewe ni mmoja wao kwasababu mnakuja na majina kama la baharia wakati kumbe ni mitoto ya mafisadi mnaijua wakati inataka kugombea uongozi inabadili ID kuweka jina halisi mfano wale wa East Africa

Nimeshakusamehe kwani hujui unachokisema. Unaonekana unafrustration za kutosha kiasi kwamba sasa unatumia mgongo kufikiri badala ya ubongo.
 
Hatimaye leo nimeamua kubisha hodi rasmi ndani ya JF ili nami niwe mwanafamilia baada ya kuwa guest wa JF kwa muda mrefu ambapo nilipata fursa ya kufuatilia posts mbalimbali zenye hoja. Natarajia kupata ushirikiano wenu. Asanteni.
Karibu Mchuma Mboga!
 
Hatimaye leo nimeamua kubisha hodi rasmi ndani ya JF ili nami niwe mwanafamilia baada ya kuwa guest wa JF kwa muda mrefu ambapo nilipata fursa ya kufuatilia posts mbalimbali zenye hoja. Natarajia kupata ushirikiano wenu. Asanteni.

Karibu...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom