L LUMBAKALA Senior Member Joined Dec 29, 2010 Posts 148 Reaction score 20 Jan 21, 2011 #1 Naomba mnipokee ndugu zangu wa jamii forum.Ndani ya jarida hili hata hamu ya kutoka unashindwa maana mambo ya JF yanapendeza si utani
Naomba mnipokee ndugu zangu wa jamii forum.Ndani ya jarida hili hata hamu ya kutoka unashindwa maana mambo ya JF yanapendeza si utani
BLUE BALAA JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 1,222 Reaction score 786 Jan 21, 2011 #2 Mwaga CV yako hapa.
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,202 Reaction score 8,788 Jan 21, 2011 #3 Ni usiku sana, lkn karibu, yaelekea umetembea umbali mrefu hadi kuwasili hapa Jf. pole sana mkuu, pata maji baridi-bili kwangu.
Ni usiku sana, lkn karibu, yaelekea umetembea umbali mrefu hadi kuwasili hapa Jf. pole sana mkuu, pata maji baridi-bili kwangu.
Twilumba Platinum Member Joined Dec 5, 2010 Posts 13,636 Reaction score 16,615 Jan 21, 2011 #4 LUMBAKALA said: Naomba mnipokee ndugu zangu wa jamii forum.Ndani ya jarida hili hata hamu ya kutoka unashindwa maana mambo ya JF yanapendeza si utani Click to expand... Umetokea UVCCM nini (jokes)..................... Karibu sana
LUMBAKALA said: Naomba mnipokee ndugu zangu wa jamii forum.Ndani ya jarida hili hata hamu ya kutoka unashindwa maana mambo ya JF yanapendeza si utani Click to expand... Umetokea UVCCM nini (jokes)..................... Karibu sana