Karibu mkuu...Nabisha hodi humu ndani! Hali zenu wapendwa wa Chit-Chat?
looooh haka kapicha kamenipanikisha...bagah akataka avunje boma!!Karibu mkuu...
Ila chonde chonde usiingie mpaka chumbani.....Niko na shemeji yenu BADILI TABIA tunajadili uzazi wa mpango. Kuna vibinti humu Erotica, charminglady, CUTE na Yummy, utakaye mtaka nitumie PM nikuunganishie. Ila angalizo, Yummy alikuwa demu wangu kabla sijatahiriwa.
Orayt... ngoja niserebuke na mgeni wetu afu nisepe.....ntaaibika hapa ofisini babu...please....duh...kitu the RIVER BETWEEN....
Charminglady anajiremba mno mpaka naumuogopa, Yummy mashaallah portable,Smiles afananii kabisa na jina lake, Cute loh nafsi inaninyongonyea maana ndio haswaa ugonjwa wangu sasa napata kigugumizi sijui niende wapi Erotica au Cute?Huyu Zinduna mmh! Dharula anaonekana kwa ngoma hajambo! hanifai mm napenda Bolingo yeye mdundiko tutafanana kweli hapo?
babuuu...afu dizaini umefanana na KIBONDEOrayt... ngoja niserebuke na mgeni wetu afu nisepe.....
Hahahaha.......... hiyo inaitwa mkonyonyo ya mutombokazi..... chezeya ODM?babuuu...afu dizaini umefanana na KIBONDE
Hahahaha.......... hiyo inaitwa mkonyonyo ya mutombokazi..... chezeya ODM?