Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Haha Endelea kujifunza, tukikufunza Kubali, hiko ndio kiswahili fasaha na Sio "usilogwe" kwa faida yako na Usijifanye mjuaji kwa Mambo ambayo huyajui na Huna uhakika NayoKwa kikurya sio??? Mimi sio mkurya...
ayaaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Usilogwe =usirogwe
We endelea na kikurya chako. Sisi tuliokulia kwenye kiswahili tutaendelea kutamka na kuandika "kulogwa"Haha Endelea kujifunza, tukikufunza Kubali, hiko ndio kiswahili fasaha na Sio "usilogwe" kwa faida yako na Usijifanye mjuaji kwa Mambo ambayo huyajui na Huna uhakika Nayo