hizi ziko dukani good peoplez ......

hizi ziko dukani good peoplez ......

duh..huyo wa chini waweza sema kachongwa kumbe ni uumbaji tu...nice figure!!!
 
Mwanamke hupendeza anapovaa skirt au gauni na sio suruali bullshit yaani wanawake wa leo mngejua sie wanaume tunavyowadharau mnapovaa suruali...
 
Tunaomba na sura za warembo manake watu tunataka kununua nguo na watu wenyewe sasa tusije ingia mkenge
 
19.jpg
 
zinapendeza sana!! nahisi hatamie zitanitoa chicha sana
 
The jeans are good! However, they look better on those girls! It all depends on the shape of the one wearing it. Believe me, wengine wakivaa ni kituko kitupu.
 
Mwanamke hupendeza anapovaa skirt au gauni na sio suruali bullshit yaani wanawake wa leo mngejua sie wanaume tunavyowadharau mnapovaa suruali...

Ilitoro! yaani wada wamendeza hivyo weye unawadharau. well may be madeometer ina soma UH iko zero!!
 
Hizi zenye UMBO la KOPA ilio geukia kwa juu huwa tamu sama kama kula kiti moto!
 
Mwanamke hupendeza anapovaa skirt au gauni na sio suruali bullshit yaani wanawake wa leo mngejua sie wanaume tunavyowadharau mnapovaa suruali...

Hata na sisi tunawadharau viumbe kama nyinyi. Kwani nani alisema suruali ni vazi la kiume? Nenda Uarabuni na Uhindini uone wanawake wanaovaa suruali
 
Warembo hawa siamini kama hata wakijisaidia wanatoa harufu!!! watoto duhh!!! waambieni wasikanyage bukoba kabisaaaaaaa
 
hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
 
zilizo dukani ni hizo jeans au hizo totoz zilizo zivaa? maana nipo tayari kuuza kiwanja cha bunju ili mradi ninunue huyo mwenye tatoo.

Wanted to ask the same... Ila hiyo yenye red...Nope!
 
Hiyo tight hata akijamba hewa haitatoka vizuri...msee wangu..!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom