donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
mi sizipendi kabisaaaaaa.......msg zozote za kuforwadiana sizipendi[/QUOTE]
Igwe like this,....
Mwishoni huishia na mkwara mbuzi ETI.....Bw. Bujibuji wa JF CC alidharau kutuma ujumbe huu matokeo yake kesho yake akafukuzwa kazi........ Bw. Baba V wa mwisho wa lami Lumo alituma ujumbe huu kwa watu 10 baada ya siku mbili akashinda bahati nasibu ya mamilioni na kupandishwa cheo ofisini kwake .....tuma ujumbe kwa watu wengi kadiri uwezavyo
Kwakweli zinakera sana na kumalizia chaji tu
mi sizipendi kabisaaaaaa.......msg zozote za kuforwadiana sizipendi
Umeonae wanaoforwad nao wanachosha acha tu maana no editting,zingine wanatuma asubuhi anasema nakutakia usiku mwema,keroooooo waache mara moja kwakwelimi sizipendi kabisaaaaaa.......msg zozote za kuforwadiana sizipendi
Hata mimi huwa sipendi kufowadiwa sms kwani naona muhusika kama hakua na nia ya kunijulia hali au kuwasiliana na mimi. Hizo sms za vitisho hazitokani na Mungu ni kudelete tu. Wengine hadi email unakuta kakufowadia huwa najiuliza kwanini usikae kimya tu kama huna muda wa kuandika mawazo yako . Email type hiii huwa sijibu kabisa.mi sizipendi kabisaaaaaa.......msg zozote za kuforwadiana sizipendi
Mwishoni huishia na mkwara mbuzi ETI.....Bw. Bujibuji wa JF CC alidharau kutuma ujumbe huu matokeo yake kesho yake akafukuzwa kazi........ Bw. Baba V wa mwisho wa lami Lumo alituma ujumbe huu kwa watu 10 baada ya siku mbili akashinda bahati nasibu ya mamilioni na kupandishwa cheo ofisini kwake .....tuma ujumbe kwa watu wengi kadiri uwezavyo
Mwishoni huishia na mkwara mbuzi ETI.....Bw. Bujibuji wa JF CC alidharau kutuma ujumbe huu matokeo yake kesho yake akafukuzwa kazi........ Bw. Baba V wa mwisho wa lami Lumo alituma ujumbe huu kwa watu 10 baada ya siku mbili akashinda bahati nasibu ya mamilioni na kupandishwa cheo ofisini kwake .....tuma ujumbe kwa watu wengi kadiri uwezavyo
Mwishoni huishia na mkwara mbuzi ETI.....Bw. Bujibuji wa JF CC alidharau kutuma ujumbe huu matokeo yake kesho yake akafukuzwa kazi........ Bw. Baba V wa mwisho wa lami Lumo alituma ujumbe huu kwa watu 10 baada ya siku mbili akashinda bahati nasibu ya mamilioni na kupandishwa cheo ofisini kwake .....tuma ujumbe kwa watu wengi kadiri uwezavyo
ukiwa na roho nyepesi hata kama simu haina vocha unaenda kununua unajiunga na kuanza kufoward bila kupendaHahahah af ni kweli mkuu zina biti moja la hatari!