donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
Salam wakuu,
Za mchana! Kuna huu mtindo umeenea siku hizi wa kufowardiana hizi sms za kidini sijui tuma kwa watu 10 ndani ya dakika kadhaa utapata muujiza na ukipuuzia utalaaniwa. Hizi sms zinanikera sana kwa kweli, halafu hazizingatii swala la salio lako au vp ilimradi tu nilazima kuwaforwardia na wewe wenzako. Mimi hua nazidelete sababu kwanza hazijatoka kwa Sir God mwenyewe, halafu sijawahi kusikia baraka za lazima. Halafu na vile vitisho vyake kwamba sijui uisipotuma utakua na miaka 7 ya shida na tabu. Wai? Kiruuu!
Za mchana! Kuna huu mtindo umeenea siku hizi wa kufowardiana hizi sms za kidini sijui tuma kwa watu 10 ndani ya dakika kadhaa utapata muujiza na ukipuuzia utalaaniwa. Hizi sms zinanikera sana kwa kweli, halafu hazizingatii swala la salio lako au vp ilimradi tu nilazima kuwaforwardia na wewe wenzako. Mimi hua nazidelete sababu kwanza hazijatoka kwa Sir God mwenyewe, halafu sijawahi kusikia baraka za lazima. Halafu na vile vitisho vyake kwamba sijui uisipotuma utakua na miaka 7 ya shida na tabu. Wai? Kiruuu!