Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,304
- 780
Zamani tunasadikishwa kuwa yule Mzee wetu JK wa kwanza (Mungu amlaze pema peponi) ,alikuwa ni mtaalamu sana wa hizi kamati za ufundi wa mambo ya asili ya mwafrika (uchawi).....
Zipo hadithi mbali mbali tulizokuwa tunasimuliwa kuhusu yeye kwamba:- alikuwa na saa/rada (vyovyote iwavyo) kila alipokuwa anataka kusafiri anakwenda kuiangalia, akikuta ina rangi nyeupe basi ilimaanisha kuwa safari yake ni nzuri....na kama cku hiyo akiikuta ina rangi nyekundu au nyeusi basi hasafiri maana safari hiyo itakuwa na mkosi....
Kuna uzushi mwingine kuwa eti hata kile kifimbo chake kilikuwa ni maalumu kwa ajili yake tu na wasimuliaji wakaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ipo walikuwa mkutanoni huko Arusha na baada ya mkutano kumalizika akakisahau mezani kile kifimbo watu wakajaribu kukiiba lakin kikagoma kung'oka pale mezani!!
Na watu wakazidi kudai kwamba eti hata kushinda kwa ile vita ya kagera kulichangiwa kwa kiasi kikubwa na zile kamati zake za ufundi........kuna hayo na madai mengine mengi tu sasa mi binafsi cjafahamu lolote ktk hayo kuna anaejua zaidi?
Zipo hadithi mbali mbali tulizokuwa tunasimuliwa kuhusu yeye kwamba:- alikuwa na saa/rada (vyovyote iwavyo) kila alipokuwa anataka kusafiri anakwenda kuiangalia, akikuta ina rangi nyeupe basi ilimaanisha kuwa safari yake ni nzuri....na kama cku hiyo akiikuta ina rangi nyekundu au nyeusi basi hasafiri maana safari hiyo itakuwa na mkosi....
Kuna uzushi mwingine kuwa eti hata kile kifimbo chake kilikuwa ni maalumu kwa ajili yake tu na wasimuliaji wakaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ipo walikuwa mkutanoni huko Arusha na baada ya mkutano kumalizika akakisahau mezani kile kifimbo watu wakajaribu kukiiba lakin kikagoma kung'oka pale mezani!!
Na watu wakazidi kudai kwamba eti hata kushinda kwa ile vita ya kagera kulichangiwa kwa kiasi kikubwa na zile kamati zake za ufundi........kuna hayo na madai mengine mengi tu sasa mi binafsi cjafahamu lolote ktk hayo kuna anaejua zaidi?