Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 351
16.Inaboa sana wahitimu wa wanapokuja kuanza kazi kwenye gate wakati procedure zinafutwa kuweza kuingia wanaanza kutukana walinzi kuwa hawajui kazi zao...na wakiingia watakuwa maboss wao.
17.Inakela sana wanafunzi wa Practical training wanapokuwa wajuaji wakati wanahitaji msaada na mwisho wa siku wanaandika jina lako kama umewasaidia.
17.Inakela sana wanafunzi wa Practical training wanapokuwa wajuaji wakati wanahitaji msaada na mwisho wa siku wanaandika jina lako kama umewasaidia.