Kitumbikwela
Senior Member
- Nov 5, 2016
- 140
- 99
6.Kauli mbaya/kebehi kwa wateja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii namba 5 inabidi isisitizwe.Naonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali
mara semina ya wapi sijui
mara wajaribu biashara hii na ile
lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe
hata wafanyaje...
hizi ni baadhi ya tabia hizo...
1. kutokupokea simu unapohitajika....
watu wengi wana shida sana na matumizi ya simu
unapiga wee ..hadi una ghairi....
2.kuajiri ndugu kwenye biashara....hili nalo
ni kero kuubwa...ndugu wengi hawana uchungu na biashara
wanajifayia tu..mwisho wanakufukuzia wateja
3.Kuzoeana sana na wateja hadi wanakuwa marafiki
wanakuonea aibu kukukosoa kama huduma au service sio nzuri
wanakukimbia kimya kimya
4.kujiwekea bei unayotaka bila kuangalia soko...
hili nalo linakwamisha biashara nyiingi....
5. kuwatazama watu kwa macho na kudhani wengine sio wateja...
mteja yeyote yule akija kwenye biashara yako mpe thamani yake
usije mtazama mtu ukadhani tu ni 'mpita njia'...utakimbiza wateja...
na zingine ntaongezea baadae
7.kufanya biashara kwa kuiga pasipo kujiridhisha kwanza kwa tafiti yakinifu kisa tu umemuona rafiki yako uliyekuwa nae level moja amefanya na akafanikiwa.6.kutokuwa waaminifu na wakweli kwa wateja.
The boss himself, hiyo namba tano kuna mama mmoja niliwahi kumtolea lugha mbovu hadi leo hatakaa anisahauNaonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali
mara semina ya wapi sijui
mara wajaribu biashara hii na ile
lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe
hata wafanyaje...
hizi ni baadhi ya tabia hizo...
1. kutokupokea simu unapohitajika....
watu wengi wana shida sana na matumizi ya simu
unapiga wee ..hadi una ghairi....
2.kuajiri ndugu kwenye biashara....hili nalo
ni kero kuubwa...ndugu wengi hawana uchungu na biashara
wanajifayia tu..mwisho wanakufukuzia wateja
3.Kuzoeana sana na wateja hadi wanakuwa marafiki
wanakuonea aibu kukukosoa kama huduma au service sio nzuri
wanakukimbia kimya kimya
4.kujiwekea bei unayotaka bila kuangalia soko...
hili nalo linakwamisha biashara nyiingi....
5. kuwatazama watu kwa macho na kudhani wengine sio wateja...
mteja yeyote yule akija kwenye biashara yako mpe thamani yake
usije mtazama mtu ukadhani tu ni 'mpita njia'...utakimbiza wateja...
na zingine ntaongezea baadae
Hii ni kweli kabisa, usisahau "kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa"Naonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali
mara semina ya wapi sijui
mara wajaribu biashara hii na ile
lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe
hata wafanyaje...
hizi ni baadhi ya tabia hizo...
1. kutokupokea simu unapohitajika....
watu wengi wana shida sana na matumizi ya simu
unapiga wee ..hadi una ghairi....
2.kuajiri ndugu kwenye biashara....hili nalo
ni kero kuubwa...ndugu wengi hawana uchungu na biashara
wanajifayia tu..mwisho wanakufukuzia wateja
3.Kuzoeana sana na wateja hadi wanakuwa marafiki
wanakuonea aibu kukukosoa kama huduma au service sio nzuri
wanakukimbia kimya kimya
4.kujiwekea bei unayotaka bila kuangalia soko...
hili nalo linakwamisha biashara nyiingi....
5. kuwatazama watu kwa macho na kudhani wengine sio wateja...
mteja yeyote yule akija kwenye biashara yako mpe thamani yake
usije mtazama mtu ukadhani tu ni 'mpita njia'...utakimbiza wateja...
na zingine ntaongezea baadae
Lina maana gani? PM plsnyie watu mnajuwa hilo neno kikwetu ni tusi la ajabu unaweza kataliwa na ukoo kabisa yaani hata siwezi litamka
10.kuwa bize na simu zako huku Wateja tunasubiri huduma6.Kauli mbaya/kebehi kwa wateja