Hizi tabia 'hutaweza fanikiwa milele'

Naonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali
mara semina ya wapi sijui
mara wajaribu biashara hii na ile

lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe
hata wafanyaje...

hizi ni baadhi ya tabia hizo...


1. kutokupokea simu unapohitajika....
watu wengi wana shida sana na matumizi ya simu
unapiga wee ..hadi una ghairi....

2.kuajiri ndugu kwenye biashara....hili nalo
ni kero kuubwa...ndugu wengi hawana uchungu na biashara
wanajifayia tu..mwisho wanakufukuzia wateja

3.Kuzoeana sana na wateja hadi wanakuwa marafiki
wanakuonea aibu kukukosoa kama huduma au service sio nzuri
wanakukimbia kimya kimya

4.kujiwekea bei unayotaka bila kuangalia soko...
hili nalo linakwamisha biashara nyiingi....

5. kuwatazama watu kwa macho na kudhani wengine sio wateja...
mteja yeyote yule akija kwenye biashara yako mpe thamani yake
usije mtazama mtu ukadhani tu ni 'mpita njia'...utakimbiza wateja...

na zingine ntaongezea baadae
Hii namba 5 inabidi isisitizwe.
 
6.kutokuwa waaminifu na wakweli kwa wateja.
7.kufanya biashara kwa kuiga pasipo kujiridhisha kwanza kwa tafiti yakinifu kisa tu umemuona rafiki yako uliyekuwa nae level moja amefanya na akafanikiwa.

8. Kukopesha kopesha sana kisa tu eti atoto ni jirani yako hili hali unajua ni msumbufu kulipa deni.
 
Naonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali
mara semina ya wapi sijui
mara wajaribu biashara hii na ile

lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe
hata wafanyaje...

hizi ni baadhi ya tabia hizo...


1. kutokupokea simu unapohitajika....
watu wengi wana shida sana na matumizi ya simu
unapiga wee ..hadi una ghairi....

2.kuajiri ndugu kwenye biashara....hili nalo
ni kero kuubwa...ndugu wengi hawana uchungu na biashara
wanajifayia tu..mwisho wanakufukuzia wateja

3.Kuzoeana sana na wateja hadi wanakuwa marafiki
wanakuonea aibu kukukosoa kama huduma au service sio nzuri
wanakukimbia kimya kimya

4.kujiwekea bei unayotaka bila kuangalia soko...
hili nalo linakwamisha biashara nyiingi....

5. kuwatazama watu kwa macho na kudhani wengine sio wateja...
mteja yeyote yule akija kwenye biashara yako mpe thamani yake
usije mtazama mtu ukadhani tu ni 'mpita njia'...utakimbiza wateja...

na zingine ntaongezea baadae
The boss himself, hiyo namba tano kuna mama mmoja niliwahi kumtolea lugha mbovu hadi leo hatakaa anisahau
 
Naonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali
mara semina ya wapi sijui
mara wajaribu biashara hii na ile

lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe
hata wafanyaje...

hizi ni baadhi ya tabia hizo...


1. kutokupokea simu unapohitajika....
watu wengi wana shida sana na matumizi ya simu
unapiga wee ..hadi una ghairi....

2.kuajiri ndugu kwenye biashara....hili nalo
ni kero kuubwa...ndugu wengi hawana uchungu na biashara
wanajifayia tu..mwisho wanakufukuzia wateja

3.Kuzoeana sana na wateja hadi wanakuwa marafiki
wanakuonea aibu kukukosoa kama huduma au service sio nzuri
wanakukimbia kimya kimya

4.kujiwekea bei unayotaka bila kuangalia soko...
hili nalo linakwamisha biashara nyiingi....

5. kuwatazama watu kwa macho na kudhani wengine sio wateja...
mteja yeyote yule akija kwenye biashara yako mpe thamani yake
usije mtazama mtu ukadhani tu ni 'mpita njia'...utakimbiza wateja...

na zingine ntaongezea baadae
Hii ni kweli kabisa, usisahau "kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa"
 
'Uswahili' 'Janja Janja'

Unapokosa ku deliver on time, ama una deliver tofauti na order.

Damn.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom