Nimefurahishwa na habari hii kumbe hata wazungu nao Wana mafumbo kama ya uswazi,ona jinsi Pep Guardiola anachowafanyia kina Pogba kwa kuwaambia kuwa Bornemouth ni timu kali kuliko zote alizokutana nazo.
Lakini Pep huwa hana kuongelea timu pizani vibaya hata siku moja huwa anaziheshimu sana timu pizani tena kwa kuzisifu sana.
Pia hii tabia anayo coach wa sasa wa Barca
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.