Waacheni wafu wazikane,UKAWA MBEEELE
Mahali sasa viongozi wa dini wanapo potea ni wakati unaamriwa kuicheza ngoma usio ijua. Mtetemela na Utakatifu wa Julius! Ama kweli, kabla hatujafa tutaona mengi. Mzee huyu na heshima zake anaamriwa asifie maiti. Haya mzee nawe tumekusikia. Njaa mbaya saana ndiyo imemweka pale mjengoni leo. Avute za bunge na hizo za Ikulu.
Kama umemtumikia Mungu miaka yoote mpaka ukastaafu kazi yake haku kukumbuka hizi za siku 90 hazitakutosha. Tuwe wa kweli tu
Anajiosha tu huyo hana lolote anajipendekeza kwa ccm kama wanaweza kumfikiria kwa lolote,njaa hizi mbaya sana,, na ccm wamemtumia makusudi kwa kigezo cha uchungaji.
Maskini Tanzania,kwishney!
Mm ni mkristo nashindwa kuelewa hua wanapewa nini awa wachungaji
Mnamuelewa uyu Mtetemela? Naona amekua msemaji wa serikali sasa
Anajiita askofu mstaafu,anawakilisha vikundi vya dini,.
Lakini porojo zake ni kuisifia ccm badala ya kuwa neutral.
Kamaliza kwa kusema kwamba wanaobeza kwamba ccm kwamba hawajaleta maendeleo hawana macho
Baada ya Ukawa kutoka bungeni jana leo ndio nimejua matawi ya Radio Uhuru. Nikianza na Clouda fm,RFA, yaani wamekuwa mawakala wa kuisemea CCM Leo.
Ccm wameteka vituo vingi vya habari. Vyombo vingi vya habari hupewa mamilioni ili vyombo hivo viipendelee ccm!
Mm ni mkristo nashindwa kuelewa hua wanapewa nini awa wachungaji
Mnamuelewa uyu Mtetemela? Naona amekua msemaji wa serikali sasa
Naomba kujuzwa kama bunge maalum la katiba leo tarehe 17/4 linaendelea baada ya wana UWAKA Kujitoa?