tumeshakubaliana kabisa kwamba kuanzia sasa kwenye neno UCHAGUZI basi weka UCHAFUZI..... endelea ...Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.