Hizi propaganda mnazofanya ni ujinga? Au ni ushamba wa kisiasa?

Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.
tumeshakubaliana kabisa kwamba kuanzia sasa kwenye neno UCHAGUZI basi weka UCHAFUZI..... endelea ...
 
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.

Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu.

Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.

Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
Dada huyo ameolewaaadada huyo ameolewa mahari yako tushapokea
 
Tarartibu vijana, jiwe kashasema habadilishi wateule wake.
Kwahiyo vijana wengi waliotia nia kwa lengo la kukichagia chama, imekula kwao???? walikuwa wanadanganywa na uDC, RC, DED nk nk. Sasa kama mzee kasema habadirishi watendaji inakuwaje sasa?? wasubiri 2025 au????
 
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.

Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu.

Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.

Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
Rekebisha hapo kwenye serikali iliyochaguliwa na wananchi. Weka serikali iliyowekwa na NEC, TISS Na Dolla
 
Back
Top Bottom