Hizi picha mbili zinaniumiza kichwa!!

Ndio maana wengine hatusalimiani kwa mikono, Asalaam Aleykum, Waaleykum Salaam tosha. Ndio nini kushikana mikono, wengine utawakuta wanachokonowa pua zao (Pinda), wengine wanabanja halafu wanaweka mkono kuzuia chembe chembe zisiruke, wengine wana ukurutu wa kudumu na hawaishi kujikuna makalio. Inakhusu nini kuambukizana maukurutu? Nashkuru Uislaam umenipa "ruksa" ya kusalimiana kwa salaam na ishara tu, si lazima kushikana mikono.
 
Hiyo ni picha moja copy ya pili imefanyiwa kitu inaitwa "mirror effect" kama vile unapojitazama kwenye kioo, watu wa zamani ambao tunazijuwa "negative" ni rahisi kuelewa, siku hizi unacheza na vi "software" vya picha kwenye kompyuta vinakupa hiyo "mirror effect", tazama inayoonyesha wanasalimiana kwa mkono wa kushoto maandishi ukutani nayo yamebadilika.

yaelekea kijana wetu hazijui negative. Hata kioo hajui?

Imegeuzwa kwa makusudi au ni bahati mbaya??
 
Ni picha mbili tofauti lakini hata hivyo hiyo picha ya chini ukitizama maandishi ya ukutani yanaashiria imekuwa 'mirrored'...sijui kwa nini! Hata kama wote wangekuwa ni left handed, sio 'utamaduni wetu' kusalimiana kwa mikono ya kushoto.

Not mirrored but flipped pic. Designer aliamua kuigeuza ili ifae nafasi ya gazeti pasipo kujua kuwa italeta tafsiri gani kwa watazamaji, matokeo ni watu kusalimiana kwa shoto, ana bahati ingekuwa ni Mjeshi umeigeuza hivyo ingekuwa hapatoshi.
 
hapa maana yake chama ni najisi........nyie wagaratia mmerogwa na nani!? hakuna mhariri asiyejua sheria za kuweka picha.
the party will be flashed in the toilet like your poop!
 
View attachment 42057

Hii picha ni kutoka gazeti la majira... ambayo nafikiri ipo sawa....hii ya chini sasa

View attachment 42058\
Hii picha imetoka gazeti la mwananchi....yapo mabo ya kujiuliza hapa... ni kweli hawa watu walikuwa wanasalimiana kwa mikono ya kushoto? kama ndio...kwa nini? kama picha imechezewa.....wahariri wa wa gazeti la Mwananchi walikuwa na maana gani?? nisaidieni.....
Mkuu, ukiangalia bacground banner utagundua kuwa picha moja wamei-flip horizontally.
 
Mkuu, ni picha mbili tofauti. Moja ilipigwa toka upande wa kushoto na nyingine upande wa kulia. Ila zote zilipigwa muda huo huo! (just kidding).
 
Wewe inaonekana mwalimu wako alipata tabu sana darasani, elewa anachotaka kufahamu muuliza swali, je hawa watu walisalimiana kwa kutumia mikono gani? ya kushoto au ya kulia? hajauliza hadithi za studio huwa kunafanyika nini.

FF kwa comment kama hizi nakubaliana na ww kuna mahali ulisema watu wanakushambulia binafsi badala ya hoja zako!
 
Back
Top Bottom