Hizi ni dalili za kwamba wewe bado ni maskini/fukara na unatakiwa ukaze zaidi

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,239
22,318
Tukiachana na labda kushindwa kugharamia mambo yale ya lazima ili uweze kuishi, au kutokuwa na nyumba wala usafiri, basi hizi hapa dalili zingine ambazo hazitajwi sana ila zinamtafsiri kuwa huyu mtu ni maskini na anapaswa apambane sana.

1. Kuweza kuhesabu hela zako zote kwa mkono bila msaada wa mashine.

2. Hela zako zote kuenea kwenye wallet na wallet kukaa vizuri kwenye mfuko wa suruali bila kushtukiwa na yeyote.

3. Kutakiwa kujitambulisha kila sehemu utakayoenda. Waliofanikiwa wote huwa wanatambulishwa au MC husema "natambua uwepo wa Mr Mrangi hapa".

4. Kutowahi kutumia milango ya JNIA ile ya wanaoondoka na wanaowasili. Ina maana kutowahi kupanda ndege. Wenye mafanikio hujali muda.

5. Kuwa na pato la chini ya USD 10000 kwa mwaka. Yaani kama Tsh 23m kwa mwaka. Pambana sana.

6. Kuwaona wanaonunua magari ya kifahari kama vile wanatapanya pesa. Unaona mtu katumia labda Tsh 70m kununua ndinga kali halafu wewe unadai bora angenunua kiwanja. Huo ni umaskini.

7. Kuulizia bei kwanza kila ukiingia hotelini au mgahawani.

8. Kuwa na mashaka na kila tajiri kwa kudhani katumia mbinu chafu kupata utajiri.

9. Kuonyesha chuki kali kwa kina dada wanaoomba hela kwa wapenzi wao na kudhani wapenzi wao ni wajinga kutoa hela zao.

10. Kuomba punguzo la bei hata kwa kina mama wauza mboga mboga na vitu vingine vya nyumbani.

Kama una dalili zingine mzitaje.
 
We mama kwa nini hutumii jina la ukoo wa mumeo?

Una dharau sana wewe na umetuharibia wake zetu mfyuuu........ *"😃😃

Ulaaniwe kama kibali kipo


.
 
Mbona huna adabu ndugu? Kwani wewe kuolewa na mwanaume mwenzako ulilazimishwa? Halafu badilisha hilo jina maana KAMBI YA FISI ni mtaa ninaouheshimu sana.
Aliyeolewa na mwanaume mwenzie 😂😂

You know nothing about kambi ya fisi, Ila kama una hamu ya kuletwa kambini nijulishe tafadhali maana faster utafikishwa ufunge na domo lako milele.
 
Tukiachana na labda kushindwa kugharamia mambo yale ya lazima ili uweze kuishi, au kutokuwa na nyumba wala usafiri, basi hizi hapa dalili zingine ambazo hazitajwi sana ila zinamtafsiri kuwa huyu mtu ni maskini na anapaswa apambane sana.

1. Kuweza kuhesabu hela zako zote kwa mkono bila msaada wa mashine.

2. Hela zako zote kuenea kwenye wallet na wallet kukaa vizuri kwenye mfuko wa suruali bila kushtukiwa na yeyote.

3. Kutakiwa kujitambulisha kila sehemu utakayoenda. Waliofanikiwa wote huwa wanatambulishwa au MC husema "natambua uwepo wa Mr Mrangi hapa".

4. Kutowahi kutumia milango ya JNIA ile ya wanaoondoka na wanaowasili. Ina maana kutowahi kupanda ndege. Wenye mafanikio hujali muda.

5. Kuwa na pato la chini ya USD 10000 kwa mwaka. Yaani kama Tsh 23m kwa mwaka. Pambana sana.

6. Kuwaona wanaonunua magari ya kifahari kama vile wanatapanya pesa. Unaona mtu katumia labda Tsh 70m kununua ndinga kali halafu wewe unadai bora angenunua kiwanja. Huo ni umaskini.

7. Kuulizia bei kwanza kila ukiingia hotelini au mgahawani.

8. Kuwa na mashaka na kila tajiri kwa kudhani katumia mbinu chafu kupata utajiri.

9. Kuonyesha chuki kali kwa kina dada wanaoomba hela kwa wapenzi wao na kudhani wapenzi wao ni wajinga kutoa hela zao.

10. Kuomba punguzo la bei hata kwa kina mama wauza mboga mboga na vitu vingine vya nyumbani.

Kama una dalili zingine mzitaje.

1,hela siku zote zinahesabika kwa mkono,ila pesa haiwezekani lazima mashine ihusike.

2,chenji elfu 10 upewe 500 tupu kama zitakaa ktk wallet,vipi una pesa tayari?

3,wasifu hauhusiani na pesa kama maprof wengi wana status ila pesa hawana.

4,ndege,acha ushamba bana.

5,23mln kwa mwaka ni sawa na ave 1.8 per month,huyu mtu hata kipato cha kati cha juu hayupo,bado ni masikini.

6,kama unatumia 70mln kununua gari kati ya masikini wanaoweza kufikiri unatapanya pesa,bado u kati yao,ili uwe ni fogo kakae masaki ambapo ukinunua gari la 70mln unapongezwa.

7,haya mambo wanafanya masikini waliopata pesa za ghafla,wanaotafuta hela toka chini huwa hawaachi kuuliza bei.

8,kufanikiwa hakutegemei ndumba au njia haramu ila utajiri lazima mbinu haramu zitumike,ukitaka kunielewa nenda kaanze kulima matikiti ukisikilizia mtaji kufika tsh 1bln,utagundua ni kwa namna gani ni ngumu kuwa tajiri.

9,kuomba hela mpaka tusikie tusio husika ni ufukara,lakini kutoa pesa mpaka tusiohusika tusikie ni umasikini.

10,usichanganye msaada na biashara,ukitaka kufanya msaada unawezanunua mboga ya 250 kwa elfu 5,ila ukisimama kama mteja tu,utagundua 50 utakayopunguziwa inawezanunua kitunguu.
 
1,hela siku zote zinahesabika kwa mkono,ila pesa haiwezekani lazima mashine ihusike.

2,chenji elfu 10 upewe 500 tupu kama zitakaa ktk wallet,vipi una pesa tayari?

3,wasifu hauhusiani na pesa kama maprof wengi wana status ila pesa hawana.

4,ndege,acha ushamba bana.

5,23mln kwa mwaka ni sawa na ave 1.8 per month,huyu mtu hata kipato cha kati cha juu hayupo,bado ni masikini.

6,kama unatumia 70mln kununua gari kati ya masikini wanaoweza kufikiri unatapanya pesa,bado u kati yao,ili uwe ni fogo kakae masaki ambapo ukinunua gari la 70mln unapongezwa.

7,haya mambo wanafanya masikini waliopata pesa za ghafla,wanaotafuta hela toka chini huwa hawaachi kuuliza bei.

8,kufanikiwa hakutegemei ndumba au njia haramu ila utajiri lazima mbinu haramu zitumike,ukitaka kunielewa nenda kaanze kulima matikiti ukisikilizia mtaji kufika tsh 1bln,utagundua ni kwa namna gani ni ngumu kuwa tajiri.

9,kuomba hela mpaka tusikie tusio husika ni ufukara,lakini kutoa pesa mpaka tusiohusika tusikie ni umasikini.

10,usichanganye msaada na biashara,ukitaka kufanya msaada unawezanunua mboga ya 250 kwa elfu 5,ila ukisimama kama mteja tu,utagundua 50 utakayopunguziwa inawezanunua kitunguu.
Kuni-challenge pia ni dalili ya umaskini.
 
Basi Kama sifa za umaskini, ni pamoja kuwachukia akina dada wanaomba hela, Basi hata akina GSM, Mo, na wengine, maskini wanzangu tu.
Najua hawawafurahii akina Dada wanaomba hela.
 
No 4 sio kweli....

Kuna watu wanasomesha watoto nje ya nchi...wanalipa ma Ada Hadi milion 30 Kwa mwaka lakini hawajawahi kupanda ndege kabisa
 
Tukiachana na labda kushindwa kugharamia mambo yale ya lazima ili uweze kuishi, au kutokuwa na nyumba wala usafiri, basi hizi hapa dalili zingine ambazo hazitajwi sana ila zinamtafsiri kuwa huyu mtu ni maskini na anapaswa apambane sana.

1. Kuweza kuhesabu hela zako zote kwa mkono bila msaada wa mashine.

2. Hela zako zote kuenea kwenye wallet na wallet kukaa vizuri kwenye mfuko wa suruali bila kushtukiwa na yeyote.

3. Kutakiwa kujitambulisha kila sehemu utakayoenda. Waliofanikiwa wote huwa wanatambulishwa au MC husema "natambua uwepo wa Mr Mrangi hapa".

4. Kutowahi kutumia milango ya JNIA ile ya wanaoondoka na wanaowasili. Ina maana kutowahi kupanda ndege. Wenye mafanikio hujali muda.

5. Kuwa na pato la chini ya USD 10000 kwa mwaka. Yaani kama Tsh 23m kwa mwaka. Pambana sana.

6. Kuwaona wanaonunua magari ya kifahari kama vile wanatapanya pesa. Unaona mtu katumia labda Tsh 70m kununua ndinga kali halafu wewe unadai bora angenunua kiwanja. Huo ni umaskini.

7. Kuulizia bei kwanza kila ukiingia hotelini au mgahawani.

8. Kuwa na mashaka na kila tajiri kwa kudhani katumia mbinu chafu kupata utajiri.

9. Kuonyesha chuki kali kwa kina dada wanaoomba hela kwa wapenzi wao na kudhani wapenzi wao ni wajinga kutoa hela zao.

10. Kuomba punguzo la bei hata kwa kina mama wauza mboga mboga na vitu vingine vya nyumbani.

Kama una dalili zingine mzitaje.
Kuanuni Mshana Jr ana dawa, zindiko, kafara linalotajirisha ni umasikini mwingine
 
Tukiachana na labda kushindwa kugharamia mambo yale ya lazima ili uweze kuishi, au kutokuwa na nyumba wala usafiri, basi hizi hapa dalili zingine ambazo hazitajwi sana ila zinamtafsiri kuwa huyu mtu ni maskini na anapaswa apambane sana.

1. Kuweza kuhesabu hela zako zote kwa mkono bila msaada wa mashine.

2. Hela zako zote kuenea kwenye wallet na wallet kukaa vizuri kwenye mfuko wa suruali bila kushtukiwa na yeyote.

3. Kutakiwa kujitambulisha kila sehemu utakayoenda. Waliofanikiwa wote huwa wanatambulishwa au MC husema "natambua uwepo wa Mr Mrangi hapa".

4. Kutowahi kutumia milango ya JNIA ile ya wanaoondoka na wanaowasili. Ina maana kutowahi kupanda ndege. Wenye mafanikio hujali muda.

5. Kuwa na pato la chini ya USD 10000 kwa mwaka. Yaani kama Tsh 23m kwa mwaka. Pambana sana.

6. Kuwaona wanaonunua magari ya kifahari kama vile wanatapanya pesa. Unaona mtu katumia labda Tsh 70m kununua ndinga kali halafu wewe unadai bora angenunua kiwanja. Huo ni umaskini.

7. Kuulizia bei kwanza kila ukiingia hotelini au mgahawani.

8. Kuwa na mashaka na kila tajiri kwa kudhani katumia mbinu chafu kupata utajiri.

9. Kuonyesha chuki kali kwa kina dada wanaoomba hela kwa wapenzi wao na kudhani wapenzi wao ni wajinga kutoa hela zao.

10. Kuomba punguzo la bei hata kwa kina mama wauza mboga mboga na vitu vingine vya nyumbani.

Kama una dalili zingine mzitaje.
Mimi ni masikini Kwa kigezo namba 4,5 na 10
 
Back
Top Bottom