Tempest
Senior Member
- Apr 26, 2022
- 192
- 296
Kuna dada nilionana nae mitaa fulan hivi ya beach, mambo yakaenda fasta mwisho tukaishia kulala ila ajabu kwamba yeye kote ni fresh umuone ila maziwa yake ndo anaona aibu eti, mi nikajua masihara ishu ikawa serious yaan bora ishu isitishwe kuliko mm kuona hizo ngoma na amekaza mpaka mwisho sababu anasema hapendag watu wayaone ila ishu zingine zote anatoa fresh, anajifunga kitambaa maeneo hayo anakazia kabisa, yaan hata kushika tu ni mzozo.
Sasa nikawa najiuliza mbona miyayusho hii au majini haya au wametumwa na waganga wachukue nyota maana hata kumfikisha hapo kwenyewe sijatumia nguvu nying sana tofauti na siku zote na sijatoa pesa zaidi ya kulipia eneo husika na msosi.
Labda kama Kuna wadau humu washakutana na hizi situation.
Sasa nikawa najiuliza mbona miyayusho hii au majini haya au wametumwa na waganga wachukue nyota maana hata kumfikisha hapo kwenyewe sijatumia nguvu nying sana tofauti na siku zote na sijatoa pesa zaidi ya kulipia eneo husika na msosi.
Labda kama Kuna wadau humu washakutana na hizi situation.