Hizi ndo tabia za madume ya mbegu.

Hizi ndo tabia za madume ya mbegu.

Kwani ni lazima mwanaume ndo atoe huduma ya fedha kwa familia na mpenzi? Au ni jukumu la kila mtu? Wadada mnapenda sana kuhudumiwa kama mtu hana eti ni dume la mbegu!!! Jifunzeni kujitegemea sio mda wote unafiria kumtegemea mwanaume tu.
 
usijifunge katika kufikiria kijana!... discuss matters! not just having a simple mind
Sasa aliyejifunga ufikiri hapa kati ya wewe na mimi ni nani?
Hatudiscuss generic-social definition ya dume la mbegu.(ambapo umejifunga wewe)
Tunadiscuss dume la mbegu kama mtoa mada alivyoelezea. Hao watu ni kweli wapo na kawapresent vizuri sana pictorially.
"Dume la mbegu" hapa sio issue, issue ni tabia za hao watu na ndizo tunazodiscuss. Sio unakomaa na definition
Kwanza literally speaking Dume la Mbegu ni mwanaume anayeweza kuprovide a strong offspring na matumizi ni kwenye uzazi tu! nothing more nothing less
 
mwanaume kuitwa dume mbegu sio tu kwa kujua kukata mauno km pangaboi,na majukumu mengine lazima uweze kuyatekeleza...so kuitwa dume la mbegu kwa kuparamia tu haitoshi,mwanaume kazi...eboo....!
 
Kwa wafugaji mtanielewa, kuna wakati ukiwa na majike matupu mfano ya kuku basi unalazimika kutafuta dume la mbegu, kazi yake ikiwa ni kutoa mbegu tu. Tabia hii hata kwa binadamu ipo, yapo madume ya mbegu na hizi ndo tabia zao, unakuta mume lakini huduma za mahitaji ya nyumbani yanafanywa na mwanamke, mwanaume wa hivyo ni dume la mbegu, au unakuta mwanaume ana mpenzi lakini hata hamhudumii mwanamke yule, hilo nalo ni dume la mbegu na mujini madume ya mbegu yamejaa teleeeee.

Hayo madume ya mbegu yanapungua maana hata mbegu zenyewe zimepungua unaweza ukawa dume na mbegu usiwe nazo
 
Back
Top Bottom