umekosea mkuu, huyo uliyemuongelea anaitwa mwanaume wa shoka, madume ya mbegu ni yale kula, kulala na kutawanya mbegu.
Unaelewa maana ya mbegu aliyosema mtoa mada lakini?
mr JEKI,
let us go back to animals..!
kazi kuu za dume la mbegu ( ng'ombe, mbuzi, kuku, sungura, mbwa, bata, nyati) ni zipi hasa?
mi najua hizi!
---- safety and security katika family.
---- kuhakikisha kizazi chenye nguvu katika koo kinaendelezwa
---- kuongoza familia kokote kule
sasa kwanini mwanaume yeye awe kula kulala?
nadhani tuliangalie hili kwa upana zaidi!
(kama kweli wewe umeishi katika familia za kichungaji utakuwa umeshuhudia haya nilionena!)
sadly
kuna mwanaume namfaham...yeye anatongoza wadada watu wazima,wenye kazi zao na pesa zao..wanamhudumia kimavazi,anaishi kwao,wanampa pesa za club na starehe zingine zozote...anachowafanyia ni kuwahudumia kingono tuu..na wanampenda kweli..he is so happy about it,hakubali ushauri mwingine...kauli yake kuu ''namshukuru mama kwa kunizaa handsome,maisha hayanisumbui''.....huyu nae ni dume la mbegu??
Jamani tufikiri na maisha basi. Namna ya kusaka pesa/kuongeza kipato jaman. Kika siku ni haya tuuuu.
mr JEKI,
let us go back to animals..!
kazi kuu za dume la mbegu ( ng'ombe, mbuzi, kuku, sungura, mbwa, bata, nyati) ni zipi hasa?
mi najua hizi!
---- safety and security katika family.
---- kuhakikisha kizazi chenye nguvu katika koo kinaendelezwa
---- kuongoza familia kokote kule
sasa kwanini mwanaume yeye awe kula kulala?
nadhani tuliangalie hili kwa upana zaidi!
(kama kweli wewe umeishi katika familia za kichungaji utakuwa umeshuhudia haya nilionena!)
sadly
kuna mwanaume namfaham...yeye anatongoza wadada watu wazima,wenye kazi zao na pesa zao..wanamhudumia kimavazi,anaishi kwao,wanampa pesa za club na starehe zingine zozote...anachowafanyia ni kuwahudumia kingono tuu..na wanampenda kweli..he is so happy about it,hakubali ushauri mwingine...kauli yake kuu ''namshukuru mama kwa kunizaa handsome,maisha hayanisumbui''.....huyu nae ni dume la mbegu??
upo sahihi kabisa, hivyo ndo mwanaume anavyotakiwa awe, ila yapo haya madume ya mbegu ambayo yenyewe yamebaki na kazi moja tu, ya kuendeleza kizazi.
huoni watoto wamejazana barabarani wakiomba omba? huoni mateja barabarani? huoni makahaba buguruni? hizo ndio mbegu zao mkuuHao unaowaita madume ya mbegu MBONA MBEGU ZAOHAZIONEANI?