My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,335
Hizi sifa nimezitoa nchi moja hivi siitaji jina.
-Wenyewe wanajua namna ya kuwapata watu wa aina hiyo kupitia vetting na usaili mgumu hasa kabla ya kuwaandaa Kwa hiyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
- Lazima uwe mzalendo wa kweli wa nchi yako
- Usiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa
- Uwe na IQ kubwa
- Uwe na mafunzo ya kijeshi
- Upitie mafunzo ya kijasusi na kulinda viongozi wakubwa
- Ujue kutumia silaha zote kwa usahihi
- Uwe na Black belt ya aidha Kungfu au Judo (Combat Karate lazima ujue)
- Usiwe mpenda starehe
- Usiwe na tamaa yoyote ile
- Uwe tayari kufanya kazi hata bila mshahara .
-Wenyewe wanajua namna ya kuwapata watu wa aina hiyo kupitia vetting na usaili mgumu hasa kabla ya kuwaandaa Kwa hiyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app