PreGE2025 Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?

PreGE2025 Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kwa nini pesa nyingi katoa huku sana ni kwamba wafuasi wengi wapo huku.
View attachment 3358768
Mimi nina udini na uzanzibar kila mtu anajua.
Kupoteza maboya, nachangia zaidi kwenye dini isiyo yangu, ila ndani ndani kwenye mifumo, nawapelekea moto kweli kweli

Mkiangalia vizuri mtaona. Msinilaumu mimi hata mngekua nyinyi mngefanya ivo ivo.
 
KKKT wanapewa nyingi kwa sbb askofu malasusa ndio chawa mkuu ktk viongozi wa dini.
Hata uchaguzi wake ccm ilikuwa na mkono wake.
 
Back
Top Bottom