Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,400
- 6,366
Haa huyo anakula jeuri yakeSawa muinjilisti. Wamekusikia ila hukusema ni nani haswa ulitaka akusikie. Kuna wengine wanaosema; Hatufundishwi na mtu. Tunayajua yote. Akheri tule majani kuliko kufundishwa
Sent using Jamii Forums mobile app