kweli huyu jamaa muda mrefu sana hajaonekana humu na mapicha yake
Do you like it?
Babu DC!!
I want to know the meaning first.
Hio dark ndo yenye utata. Why dark?
Kwani kamusi inasema kuwa maana ya "dark" ni nini?
Au unataka tuumbe maneno?
Babu DC!!
Najua sana maana ya neno dark.
Lkn kwa nini iwe dark city na sio light city, enhe babu?
Unataka iwe Light City ili kila mtu aone kirahisi??
Hakuna maisha ya kirahisi rahisi namna hiyo.....Darkness is for sharp eyes and smart minds....
Are you one of them??
Babu DC!!
Ok, thats Gud. Now nimejua maana yake.
Iko poa.
Ok, ok, ok,....
Hebu jibu basi na wewe, ....umeipenda??
Babu DC!!
Nimeipenda baada ya kujua maana yake babu
mimi sio mbishi bwana. mi wananisingizia ni mtata.
nitake radhi kabla sijaanza ligi na wewe. sema suuuu:hand:
Hahahahahahhahahah,
Nenda mdogo mdogo komando wangu...kizazi cha siku hizi kiko fragile sana unajua!!
Babu DC!!
hahaha babu si unaona kijana anataka kuniingiza kwenye ubishani wakati mie sio mbishi. lol
kweli mazingira yanaweza kumshape mtu. jf inaniharibu!:sad::A S-alert1: