Hizi ndio zilikuwa enzi

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,789
Wahenga tukutane hapa View attachment 1486747View attachment 1486749
IMG-20200623-WA0079.jpg
View attachment 1486748
 
Daaaaah nimekumbuka mbaaaali sana ayseee wakati wa michezo pasipo kujua mchezo wowote ulikuwa hutii mguu kwenye "INJECTION".
Nakumbuka Wazir wa Michezo akiitwa "NO SHOES" pasipo urafiki naye siku ya Mechi za Shule na shule hupandi ndinga.
MWISHO Wizara ya Elimu imeyatelekeza haya magari Nchi nzima, naumia sana sana kuyaona yakiozea huko yalipo kwanini wasiyapige mnada basi wanayaacha yanaoza. Mhe.Ndalichako ondoa hizi Mbaula huko Mashuleni uwashushie Fuso kila shule.
Nyerere aliweza kuzileta hizo kila Sekondari Kongwe, sie sasa hivi promo nyiiiingi lkn shule hazina hata kirikuu!
 
Back
Top Bottom