Hamna baaana...nawatetea ndungu zangu wenye TV ChogoKumbe kwenye hilo baibui kuna balaaa eeee??..I didn't knew that
Saw..babumawe...Ngoja nizidishe situps...alafu mwezi watatu InshaAllah ntakuwa nshatimiza vigezo vyako..ntakuja PMUfanye vimazoezi vya kukata tumbo basi siunajua kitu kikiwa flat kinatia hamasa kwenye 6×6
Naona HUNA hoja ya wewe....Siku nyingine msiwe na conclude TU..Mara kabila flani Malaya..mala wenye tako hawana Akili, Mara wenye tako degree za Chupi.. kadhaa wa kadhaa...Wewe msomi uliyesoma na ukaelimika ndo unaona sawa kutuandikia lugha mseto??
Au bado una ujinga wa kuamini anayeandika kwa kiingereza ndo msomi aliyeelimika?
Nikitimiza TU vigezo naja...Nasikiaga Squats zinakuza MattercoreUsiwaze fanya kama nilivyokueleza..lakini mkia si upo??
😂😂😂😂😂😂Nchi ya viwanda hii
Okay..tushapunguza kilo ngapi?Hamna baaana...nawatetea ndungu zangu wenye TV Chogo
....notedYaa zinakuza piga round za kutosha halafu ugonge na misosi ya hatari full mayai maziwa makorokoro ya baharini yote usiache
15kgOkay..tushapunguza kilo ngapi?
Hongera..15kg
English ni strange language..logically hapo si ilibidi iwe past tense?..I didn't knew that ( not correct )
I didn't know that ( correct )
Si ndio hapo sasa.....yeye pia angetaja sifa zake...Je hao wa sifa hizo..wanamtaka wa sifa zake?