Hizi nafasi za Nbc na zakweli

Hizi nafasi za Nbc na zakweli

Ktk taasis za ma benk wana ruhusu mtu yeyote mwenye stashahada ya fani yeyote kupeleka cv yake lkn kwa ilo la NBC wengi wameliwa muda wao tu ...mi kuna jamaa yangu yupo dodoma alienda Ktk ofis za NBC lkn wakaambulia patupu tu
 
1483166023040.jpg
 
gazeti la mwananchi la leo nbc wamekanusha hizi taarifa.
 
Duuh yaan mtu mzima anakaa chini na kutunga uongo kama huu kupotosha jamii Mungu anakuona huko uliko
 
Jaman ndugu zangu hizo habr zilizosambazwa nizakwel mm mwnywe binafsi niilishaitw kweny interview week ilopita siku ya ijumaa na tukafany mtihan mtihan apo wa dakika 45 weny maswali 20 kisha wakasem twende HR Atatupigia sim bt mpk nw tumekaa tunasubiria.....ushaur interview ilishaisha toka zamn nashaur mtu asije poteza hela ake bure.
 
Hivi serikali haina shares kwenye bank ya NBC ??...au ni totally private ownership... Inawezekana nafaci zilitoka kinyemela kwa wao kwa wao..ni maoni tu.
 
Kumbe ilikuwa uongo, tumefika pabaya kama nchi
 
Poleni ndugu zangu ila msikate tamaa kama umri unaruhusu kasome ongeza vyeti, kwenye awamu hii naamini ajira zitatengenezwa ila cheti chako kitaamua upate au uendelee kusubiri.
 
Back
Top Bottom