Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,437
- 2,158
Iyo pembe mbona kama ndonga ipo umo
HahahahIyo pembe mbona kama ndonga ipo umo
Hahah nmecheka sanaa.. Alafu jamaa hana time kabsa!!Kweli Elimu ni Muhimu.
Huyo jamaa amekuja kuonesha kuwa yeye ni kidume.
Wenzake wanaandika na kupitia ajenda yeye amezubaa tu hakuna anachofanya.
Inaonekana alihudhulia mkutano ili kujionesha yaani kuwa kama onesho flani a.k.a. kuji (display)
Haonekani kujishughulisha na ajenda za mkutano.
Ni kwamba anajidhalilisha tu na kuonekana kama mlozi fulani.
Huo uwakilishi anaufanya vipi wakati kazubaa tu.
Ni mila za kijinga, za mtu mweusi, awe mwafrika au kabila lolote lile bado anamdhalilisha mtu
mweusi.
Kama alivyosema mchangiaji, kuvaa nguo ni lazima katika jamii yoyote iliyostarabika,
Mungu alifundisha kuvaa nguo zenye kusitiri mwili.
Hayo ndo matokeo ya kuendeleza ushirikina na imani za mizimu.
Hiyo jamii inahitaji huduma ya U missionary.
Ametudhalilisha sana watu weusi.
Hasa Waafrika.
Kweli
Kujua Mafundisho ya Mungu ni Chanzo Cha Hekima.
Am Very Sorry.
Mwakilishi wa Serikali ya Nchi ya Papua New Guinea Katika Mkutano wa Mabadiliko ya hali ya Hewa wa Umoja wa Mataifa..
Dah....si kweli kwamba suti ni mavazi ya wazungu au kwamba sio utamaduni wetu....Mabadiliko ya mavazi yameendana na mavadiliko ya teknolojia katika utengenezaji wa mavazi etc.....hata hao wazungu karne za nyuma hawakua na nguo za nyuzi au za vitambaa kama sasa hivi...walikua wakivaa ngozi na manguo mengine kama magunia...but hawakukubaliana na hali hiyo ndo maana now wanatengeneza nguo za pamba etc....Ni sawasawa useme sababu mababu zetu walikua wanatembea wamepanda punda au kwa miguu bac useme kupanda gari sio utamaduni wetu...sio kweli....au bac sababu wahenga wetu hawakua na umeme wanaota moto bac tusitumie umeme na sisHuna sabab ya kuuchukia uafrika hiyo ndio asili yako... Je ni nn kibaya umekiona hapo kwa picha? Amejistili vya kutosha na hicho ndio kielelezo cha kiafrika haya masuala ya suti, suruali sijui tai kubwa shingoni mababu zetu huko nyuma hawakuyajua kabisa.. Na huyo kiongoz inaonyesha atokeako ndivyo walivyo sasa ww unadhan angevaa suti angekuwa unawawakilishaje watu wake... Hiyo ndio maana ya uwakilishi...
Utamaduni Ni nini? Je gari,umeme,ni vitu vya. Kitamaduni?Dah....si kweli kwamba suti ni mavazi ya wazungu au kwamba sio utamaduni wetu....Mabadiliko ya mavazi yameendana na mavadiliko ya teknolojia katika utengenezaji wa mavazi etc.....hata hao wazungu karne za nyuma hawakua na nguo za nyuzi au za vitambaa kama sasa hivi...walikua wakivaa ngozi na manguo mengine kama magunia...but hawakukubaliana na hali hiyo ndo maana now wanatengeneza nguo za pamba etc....Ni sawasawa useme sababu mababu zetu walikua wanatembea wamepanda punda au kwa miguu bac useme kupanda gari sio utamaduni wetu...sio kweli....au bac sababu wahenga wetu hawakua na umeme wanaota moto bac tusitumie umeme na sis
mkumbushe pia wale red indies wana siku yao ya utamaduni na wako comfortable na utamaduni waoMkuu unasahau kuwa hata wazungu walitembea uchi kama mwafika.
Binadamu hubadilika kutokana na nyakati.
Soma historia hata mababu walibadilika kutoka zama za ujima hadi ukifika wakati wa teknolojia za kufua vyuma iliyowawezesha kulima, kufuga hata biashara badala ya kuokota matunda.
Hahaha ndonga imehifadhiwa kwenye kibuyu!Mwakilishi wa Serikali ya Nchi ya Papua New Guinea Katika Mkutano wa Mabadiliko ya hali ya Hewa wa Umoja wa Mataifa..
Bora ungekaa nyuma ya keyboard ukiwa uchi na kuandika haya uliyoandika ili tuamini kuwa kweli asili yako bado ni ile ile.Japo nahuzunika kwa baadhi ya mambo kwa ss wa Africa,lakini cijutii asili yangu kwa itabaki kuwa ile ile.Yaan siwezi badili hata ukucha wangu kuwa wa brue hivyo I love my position
khaa! kweli duniani kuna mambo hata KIKANDAMIZIO kinavishwa ala!!