Hizi lugha za kudhalilishana za ATCL sijui viongozi hawa vipi!

aliisaac1000

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
407
272
Nilikua naangalia taarifa ya mkulu wa Air Tanzania aliyokua akiitoa juu ya wafanyakazi wa ATC. Kinachonihuzunisha si hatua zilizochukuliwa bali ni kauli ambazo zimeonekana kama kuwadhalilisha wafanyakazi ambao inakusudia kuwapumzisha. Hawa watumishi hawana kosa na waliajiriwa kwa kufuata taratibu zote hivyo wanastahili heshima hata kama ni kuwapumzisha basi lugha za kiungwana zitumike, lugha kama ' 'BODI IMEAMUA KUWAONDOA MARA MOJA' kama vile wanafukuza mwizi, ni lugha isiyo na staha na imejawa na chuki hata kama ilikua na nia nzuri. Ikumbukwe mara nyingi katika taasisi nyingi kama si zote zilizotumbuliwa si watumishi wa chini ambao wamehujumu, mara zote ni viongozi wakuu wateule wa Serikali yenyewe!, kwahiyo si vizuri kuwadhalilisha, walipeni haki zao waondoke kwa heshima.
 
Haya yote wanatakiwa kuyahifadhi, Akisha maliza kuwaondoa wapeleke kesi mahakamani.
 
Huko wamejaa watu wasiyo na sifa na wengi waliingia kupitia milango ya nyuma. Hii ni moja ya sababu mashirika mengi ya umma hayafanyi vizuri.
 
Nilikua naangalia taarifa ya mkulu wa Air Tanzania aliyokua akiitoa juu ya wafanyakazi wa ATC. Kinachonihuzunisha si hatua zilizochukuliwa bali ni kauli ambazo zimeonekana kama kuwadhalilisha wafanyakazi ambao inakusudia kuwapumzisha. Hawa watumishi hawana kosa na waliajiriwa kwa kufuata taratibu zote hivyo wanastahili heshima hata kama ni kuwapumzisha basi lugha za kiungwana zitumike, lugha kama ' 'BODI IMEAMUA KUWAONDOA MARA MOJA' kama vile wanafukuza mwizi, ni lugha isiyo na staha na imejawa na chuki hata kama ilikua na nia nzuri. Ikumbukwe mara nyingi katika taasisi nyingi kama si zote zilizotumbuliwa si watumishi wa chini ambao wamehujumu, mara zote ni viongozi wakuu wateule wa Serikali yenyewe!, kwahiyo si vizuri kuwadhalilisha, walipeni haki zao waondoke kwa heshima.
Hawafukuzwi wanapeleka vitengo vingine vya wizara ya ujenzi na mawasiliano,wanaondolewa ATCL hawafukuzwi kazi.Wengi hawakuwa na sifa na utendaji wao ulikuwa mbovu
 
Hawafukuzwi wanapeleka vitengo vingine vya wizara ya ujenzi na mawasiliano,wanaondolewa ATCL hawafukuzwi kazi.Wengi hawakuwa na sifa na utendaji wao ulikuwa mbovu
Sasa kama hawakuwa na sifa huko kwingine wanakwenda kufanya nini?
 
Hili shirika lilichukua sana wanawake warembo wasiokuwa na sofa na elimu. Lisafishwe liende kisayansi
 
Sasa kama hawakuwa na sifa huko kwingine wanakwenda kufanya nini?
uploadfromtaptalk1480148075213.png
 
Nilikua naangalia taarifa ya mkulu wa Air Tanzania aliyokua akiitoa juu ya wafanyakazi wa ATC. Kinachonihuzunisha si hatua zilizochukuliwa bali ni kauli ambazo zimeonekana kama kuwadhalilisha wafanyakazi ambao inakusudia kuwapumzisha. Hawa watumishi hawana kosa na waliajiriwa kwa kufuata taratibu zote hivyo wanastahili heshima hata kama ni kuwapumzisha basi lugha za kiungwana zitumike, lugha kama ' 'BODI IMEAMUA KUWAONDOA MARA MOJA' kama vile wanafukuza mwizi, ni lugha isiyo na staha na imejawa na chuki hata kama ilikua na nia nzuri. Ikumbukwe mara nyingi katika taasisi nyingi kama si zote zilizotumbuliwa si watumishi wa chini ambao wamehujumu, mara zote ni viongozi wakuu wateule wa Serikali yenyewe!, kwahiyo si vizuri kuwadhalilisha, walipeni haki zao waondoke kwa heshima.
Kwa lipi zuri walilofanya?
Kutafuna pesa za walipa kodi. Watupwekule kabisa,
 
Nilikua naangalia taarifa ya mkulu wa Air Tanzania aliyokua akiitoa juu ya wafanyakazi wa ATC. Kinachonihuzunisha si hatua zilizochukuliwa bali ni kauli ambazo zimeonekana kama kuwadhalilisha wafanyakazi ambao inakusudia kuwapumzisha. Hawa watumishi hawana kosa na waliajiriwa kwa kufuata taratibu zote hivyo wanastahili heshima hata kama ni kuwapumzisha basi lugha za kiungwana zitumike, lugha kama ' 'BODI IMEAMUA KUWAONDOA MARA MOJA' kama vile wanafukuza mwizi, ni lugha isiyo na staha na imejawa na chuki hata kama ilikua na nia nzuri. Ikumbukwe mara nyingi katika taasisi nyingi kama si zote zilizotumbuliwa si watumishi wa chini ambao wamehujumu, mara zote ni viongozi wakuu wateule wa Serikali yenyewe!, kwahiyo si vizuri kuwadhalilisha, walipeni haki zao waondoke kwa heshima.
Nami naunga mkono hii hoja. Hata kama kulikuwa mapungufu basi stafa ni ya muhimu. Ikumbukwe kuwa miaka hii unapomfukuza mtu kai na jinsi ilivyo kazi kupata kazi. Juu ya hayo unaongeza juu dhihaka kwa kweli siuungwana. Sawa wanatakiwa kuounguzwa lakini wasidhihakiwe.
 
Nilikua naangalia taarifa ya mkulu wa Air Tanzania aliyokua akiitoa juu ya wafanyakazi wa ATC. Kinachonihuzunisha si hatua zilizochukuliwa bali ni kauli ambazo zimeonekana kama kuwadhalilisha wafanyakazi ambao inakusudia kuwapumzisha. Hawa watumishi hawana kosa na waliajiriwa kwa kufuata taratibu zote hivyo wanastahili heshima hata kama ni kuwapumzisha basi lugha za kiungwana zitumike, lugha kama ' 'BODI IMEAMUA KUWAONDOA MARA MOJA' kama vile wanafukuza mwizi, ni lugha isiyo na staha na imejawa na chuki hata kama ilikua na nia nzuri. Ikumbukwe mara nyingi katika taasisi nyingi kama si zote zilizotumbuliwa si watumishi wa chini ambao wamehujumu, mara zote ni viongozi wakuu wateule wa Serikali yenyewe!, kwahiyo si vizuri kuwadhalilisha, walipeni haki zao waondoke kwa heshima.
Mitizamo wako wako tu
 
Wale wote waliofikia umri wa kustafu/wasiowahitaji wangewalipa tu,wengi wao wana malimbikizo ya madai ya fedha,na hiyo inafanya wasifanye kazi kwa moyo,baada ya kuwalipa wangewachukua kwa mkataba mafundi na wasaidizi maana kuwapata hao Ni ngumu Sana.
 
Nilikua naangalia taarifa ya mkulu wa Air Tanzania aliyokua akiitoa juu ya wafanyakazi wa ATC. Kinachonihuzunisha si hatua zilizochukuliwa bali ni kauli ambazo zimeonekana kama kuwadhalilisha wafanyakazi ambao inakusudia kuwapumzisha. Hawa watumishi hawana kosa na waliajiriwa kwa kufuata taratibu zote hivyo wanastahili heshima hata kama ni kuwapumzisha basi lugha za kiungwana zitumike, lugha kama ' 'BODI IMEAMUA KUWAONDOA MARA MOJA' kama vile wanafukuza mwizi, ni lugha isiyo na staha na imejawa na chuki hata kama ilikua na nia nzuri. Ikumbukwe mara nyingi katika taasisi nyingi kama si zote zilizotumbuliwa si watumishi wa chini ambao wamehujumu, mara zote ni viongozi wakuu wateule wa Serikali yenyewe!, kwahiyo si vizuri kuwadhalilisha, walipeni haki zao waondoke kwa heshima.
Maliziaa ukweliii

Nikusaidiiee TUUUKURUGENZI TANO ZA ATCL ZOOTE ZIMEKUWA ACTNG MIAKA MINNE SASAA HATAA YULE ALIESTAAFU AMEKAA YRS AKASTAAFU KAMA ACTNG

UNAPOSHINDWA KUMUIZINISHA MTU AUNAMAMLAKA YAKUMPA HATA TARGET SASA

ALICHOONGEA SIONI SHIDA VIONGOZI WOTE WAKURUGENZI NA MAMANAGER WA ATCL WALICHAGULIWA NA KUPANDISHWA VYEO BILA KUJALI ELIMU ZAO NA KUAACHA WALIONAELIMU WAKIHAHA CHINI

ALICHOSEMA N KUWAONDOA NAFASI ZA UKURG NA KUWARUDISHA NAFASI ZAO ZA KAWAIDA NASIO KUWAFUKUZA...

ROGER ROGER
 
Imefika wakatii maengn wanastaafu wanapew mkataba unaisha wanapewatena hakuna wakushika nafasi ama
Watuwakipendwa wanachaguliwa frm no whr go mosh uwemanager shame
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom