Hizi kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya Ugaidi kuhusu nyaraka mawakili wa CHADEMA kwanini wanazing'ang'ania wakati wanajua hawawezi kuzishinda?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Kwanza nimeona kabisa Mara tatu mfululizo akinakibatala wanadondokea pia kwenye maamuzi hayo.

Kuna mazingira ambayo lazma wayasome. Kwenye mapingamizi yao ikitokea upungufu ata punje lazma wapigwe chini.
Lakini jamuhuri makosa yao huweza tu kuchukuliwa NI ya kawaida kabisa. Kesi ya kwanza wanaambiwa walikosea kuelezea kosa. Binafsi naona wazi kabisa hizi kesi ndogo haziko upande wao.

Mawakili wasomi akina Kidando wamejipanga kwa kila mbinu. Sioni haja ya kung'ang'ania kwanini wasipambane na nyaraka hivyoivyo?

Kama hawakuchukua video wakati wanawahoji. Hawakunasa sauti je wanasibitisha vipi kuwa maelezo ni yao?
Mi naona waachane na kesi ndogo Mbowe atasota mda mrefu jela. Waiache kesi isogee ata akifungwa mbona akina Mugabe na Mandela walifungwa na mahakama.

Watulie waiachie mahakama Kama NI lazma kufungwa kwa nguvu izi na maamuzi yaliyokwisha kutolewa kwa kesi ndogo atafungwa tu.
 
Kwanza nimeona kabisa Mara tatu mfululizo akinakibatala wanadondokea pia kwenye maamuzi hayo.

Kuna mazingira ambayo lazma wayasome. Kwenye mapingamizi yao ikitokea upungufu ata punje lazma wapigwe chini.
Lakini jamuhuri makosa yao huweza tu kuchukuliwa NI ya kawaida kabisa. Kesi ya kwanza wanaambiwa walikosea kuelezea kosa. Binafsi naona wazi kabisa hizi kesi ndogo haziko upande wao.

Mawakili wasomi akina Kidando wamejipanga kwa kila mbinu. Sioni haja ya kung'ang'ania kwanini wasipambane na nyaraka hivyoivyo?

Kama hawakuchukua video wakati wanawahoji. Hawakunasa sauti je wanasibitisha vipi kuwa maelezo ni yao?
Mi naona waachane na kesi ndogo Mbowe atasota mda mrefu jela. Waiache kesi isogee ata akifungwa mbona akina Mugabe na Mandela walifungwa na mahakama.

Watulie waiachie mahakama Kama NI lazma kufungwa kwa nguvu izi na maamuzi yaliyokwisha kutolewa kwa kesi ndogo atafungwa tu.
Jamuhuri refa singekuwa wao hii kesi wangeshindwa kitamboooo sana maana maamuzi ya majaji wote hayafati sheria ni hisia zao binafsi na wanaonekana kabisa wanatetewa upande wa jamuhuri yenye mawakili waongo waongo
 
Kesi hii ndo si kama ile ya mwanzo. Kesi hii ni kuweka nyaraka zitakazotumiwa kutoa hukumu kuwa sawa. Kwsho tu itakuwa imetolewa hukumu na kesi kuu kuendelea.

Kama ni kweli nyaraka hii haikuwepo katika kesi ya kisutu, haipaswi kuwa hapa pia, achilia mbali habari za citations. Hatua hii si ya kuleta mambo mapya, ni kuthibitisha yaliyowasilishwa!!
 
Kwanza nimeona kabisa Mara tatu mfululizo akinakibatala wanadondokea pia kwenye maamuzi hayo.

Kuna mazingira ambayo lazma wayasome. Kwenye mapingamizi yao ikitokea upungufu ata punje lazma wapigwe chini.
Lakini jamuhuri makosa yao huweza tu kuchukuliwa NI ya kawaida kabisa. Kesi ya kwanza wanaambiwa walikosea kuelezea kosa. Binafsi naona wazi kabisa hizi kesi ndogo haziko upande wao.

Mawakili wasomi akina Kidando wamejipanga kwa kila mbinu. Sioni haja ya kung'ang'ania kwanini wasipambane na nyaraka hivyoivyo?

Kama hawakuchukua video wakati wanawahoji. Hawakunasa sauti je wanasibitisha vipi kuwa maelezo ni yao?
Mi naona waachane na kesi ndogo Mbowe atasota mda mrefu jela. Waiache kesi isogee ata akifungwa mbona akina Mugabe na Mandela walifungwa na mahakama.

Watulie waiachie mahakama Kama NI lazma kufungwa kwa nguvu izi na maamuzi yaliyokwisha kutolewa kwa kesi ndogo atafungwa tu.
Kesi ndogo hii ni upande wa jamhuri ndio umeamua kwenda kwenye kesi ndogo baada ya upande wa utetezi kukataa kupokelewa maelezo ya shahidi..
 
Kwanza nimeona kabisa Mara tatu mfululizo akinakibatala wanadondokea pia kwenye maamuzi hayo.

Kuna mazingira ambayo lazma wayasome. Kwenye mapingamizi yao ikitokea upungufu ata punje lazma wapigwe chini.
Lakini jamuhuri makosa yao huweza tu kuchukuliwa NI ya kawaida kabisa. Kesi ya kwanza wanaambiwa walikosea kuelezea kosa. Binafsi naona wazi kabisa hizi kesi ndogo haziko upande wao.

Mawakili wasomi akina Kidando wamejipanga kwa kila mbinu. Sioni haja ya kung'ang'ania kwanini wasipambane na nyaraka hivyoivyo?

Kama hawakuchukua video wakati wanawahoji. Hawakunasa sauti je wanasibitisha vipi kuwa maelezo ni yao?
Mi naona waachane na kesi ndogo Mbowe atasota mda mrefu jela. Waiache kesi isogee ata akifungwa mbona akina Mugabe na Mandela walifungwa na mahakama.

Watulie waiachie mahakama Kama NI lazma kufungwa kwa nguvu izi na maamuzi yaliyokwisha kutolewa kwa kesi ndogo atafungwa tu.
Hawawezi kuachana nzao kwani hizo ndio footprints za sheria.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza nimeona kabisa Mara tatu mfululizo akinakibatala wanadondokea pia kwenye maamuzi hayo.

Kuna mazingira ambayo lazma wayasome. Kwenye mapingamizi yao ikitokea upungufu ata punje lazma wapigwe chini.
Lakini jamuhuri makosa yao huweza tu kuchukuliwa NI ya kawaida kabisa. Kesi ya kwanza wanaambiwa walikosea kuelezea kosa. Binafsi naona wazi kabisa hizi kesi ndogo haziko upande wao.

Mawakili wasomi akina Kidando wamejipanga kwa kila mbinu. Sioni haja ya kung'ang'ania kwanini wasipambane na nyaraka hivyoivyo?

Kama hawakuchukua video wakati wanawahoji. Hawakunasa sauti je wanasibitisha vipi kuwa maelezo ni yao?
Mi naona waachane na kesi ndogo Mbowe atasota mda mrefu jela. Waiache kesi isogee ata akifungwa mbona akina Mugabe na Mandela walifungwa na mahakama.

Watulie waiachie mahakama Kama NI lazma kufungwa kwa nguvu izi na maamuzi yaliyokwisha kutolewa kwa kesi ndogo atafungwa tu.
Nathani regardless maamuzi ya Jaji, kesi ndogo zinawapa wigo mpana Mawakili wa utetezi kupunguza nguvu ushahidi Ili ili kuwa na hoja za nguvu za uteteziwakati wa submission
 
Nilichojifunza kwa mwenendo wa kesi olivo, Tafsiri ya sheria mahakamani ipo kwa namna fulani kulinda maslahi ya utawala.

Swala la haki inategemeana.

Sijui wanasheria huko mashuleni hua mnafundishwa nini.

Nilifuatilia case ya George Floyd watu wasinge komaa, kesi ile ingepindishwa.

Chadema nawashauri andaeni maandamano ya amani kushinikiza haki ionekane imetendeka, la sivo mtuwenu anafungwa.

Ushauri wa God lema. Kususia case, msijaribu, kule Rwanda yule star wa Hotel Rwanda alifanya hivo na anafungwa, nchi za magharibi zilipotaka kuingilia Kati, Serikali wakatishia kuvunja uhusiano na kwa maslahiyao wako kimya.

Binafsi siwapendi Chadema kwakua chama kimekaa kikabila flani hivi!!
Ila sipendi na nachukizwa tena Sana na anachofanyiwa Mbowe na mahakama na jamhuri.

Mashahidi wa jamhuri ukiwatazama vizuri, morals zao ni questionable.

Na ikitokea umma umeshinikiza haki inaonekana imetendeka kipindi hiki, basi, jua katiba mpya itakua imepatikana automatically.

Nadhani muda huu ni muhimu na wananchi tutawaheshimu Sana kwa legacy yenu ya kutuletea katiba mpya.
 
Kwanza nimeona kabisa Mara tatu mfululizo akinakibatala wanadondokea pia kwenye maamuzi hayo.

Kuna mazingira ambayo lazma wayasome. Kwenye mapingamizi yao ikitokea upungufu ata punje lazma wapigwe chini.
Lakini jamuhuri makosa yao huweza tu kuchukuliwa NI ya kawaida kabisa. Kesi ya kwanza wanaambiwa walikosea kuelezea kosa. Binafsi naona wazi kabisa hizi kesi ndogo haziko upande wao.

Mawakili wasomi akina Kidando wamejipanga kwa kila mbinu. Sioni haja ya kung'ang'ania kwanini wasipambane na nyaraka hivyoivyo?

Kama hawakuchukua video wakati wanawahoji. Hawakunasa sauti je wanasibitisha vipi kuwa maelezo ni yao?
Mi naona waachane na kesi ndogo Mbowe atasota mda mrefu jela. Waiache kesi isogee ata akifungwa mbona akina Mugabe na Mandela walifungwa na mahakama.

Watulie waiachie mahakama Kama NI lazma kufungwa kwa nguvu izi na maamuzi yaliyokwisha kutolewa kwa kesi ndogo atafungwa tu.
Ungekuwa wewe ndio mtuhumiwa Kwa ushahidi huo ungesema waache ufungwe? Fikiria zaidi nje ya box.
 
Kwanza nimeona kabisa Mara tatu mfululizo akinakibatala wanadondokea pia kwenye maamuzi hayo.

Kuna mazingira ambayo lazma wayasome. Kwenye mapingamizi yao ikitokea upungufu ata punje lazma wapigwe chini.
Lakini jamuhuri makosa yao huweza tu kuchukuliwa NI ya kawaida kabisa. Kesi ya kwanza wanaambiwa walikosea kuelezea kosa. Binafsi naona wazi kabisa hizi kesi ndogo haziko upande wao.

Mawakili wasomi akina Kidando wamejipanga kwa kila mbinu. Sioni haja ya kung'ang'ania kwanini wasipambane na nyaraka hivyoivyo?

Kama hawakuchukua video wakati wanawahoji. Hawakunasa sauti je wanasibitisha vipi kuwa maelezo ni yao?
Mi naona waachane na kesi ndogo Mbowe atasota mda mrefu jela. Waiache kesi isogee ata akifungwa mbona akina Mugabe na Mandela walifungwa na mahakama.

Watulie waiachie mahakama Kama NI lazma kufungwa kwa nguvu izi na maamuzi yaliyokwisha kutolewa kwa kesi ndogo atafungwa tu.
Hapana!!!
 
This case Is..Predetermined ... Nimetokea ukoo wa Jaji Mapigano... Na hii ni pre kama alivyozikataaa nyingi . hata huyu ataikaaa ..akikaza shingo ..ni maelekezo..sawaaaaaa ... Elekezeni mfungeni . wekeni tume huru ..... Niliiikataaaa hii kazi ya uenezi Wilaya.. Nilikataaa ...
 
Back
Top Bottom