Hizi hapa timu 24 zitakazokuwa kwenye African Footbal League, Yanga haimo!

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,142
7,911
Hii ndiyo list ya awali ya timu 24 zinakazocheza katika toleo lijalo la African Football League.

Waandaaji wa AFL ambayo ni taasisi inayojitegemea imeona ni muhimu nchi zile ambazo zinajulikana zaidi kwa mpira Africa lazima zipewe uwakilishi pamoja na kwamba katika level za club wamekuwa hawana timu kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hii ni kwa sababu ni rahisi zaidi kuiuza Senegal au Ghana kimataifa kwenye masuala ya mpira kuliko Tanzania au Kenya kwa mfano.

Itakuwa inafanyika review ya performance ya timu zote kila baada ya miaka 3 na baadae review hiyo itakuwa inafanyika kila miaka 5. Katika review hizo, timu 2 hadi 4 ambazo zitaonekana kuwa na matokeo mabovu, zitakuwa zinabadilishwa na kuingizwa timu mpya.

List yenyewe ni hii:
  1. Mamelodi Sundowns - South Africa
  2. Orlando Pirates - South Africa
  3. Al Ahly - Egypt
  4. Zamalek - Egypt
  5. Simba - Tanzania
  6. Wydad - Morocco
  7. Raja Casablanca - Morocco
  8. Esperance - Tunisia
  9. Etoile Du Sahel - Tunisia
  10. Coton Sport - Cameroon
  11. TP Mazembe - DRC
  12. AS Vita - DRC
  13. Petro de Luanda - Angola
  14. Power Dynamos - Zambia
  15. Al Hilal - Sudan
  16. Enyimba - Nigeria
  17. ASEC Mimosas - Ivory Coast
  18. Hearts of Oak - Ghana
  19. Vipers - Uganda
  20. Jwaneng Galaxy - Botswana
  21. AS Bamako - Mali
  22. CR Belouizdad - Algeria
  23. JS Kabylie - Algeria
  24. ASC Jaraaf - Senegal

Kuna timu kadhaa zitawekwa kwenye waiting list wakati bado kamati inaendelea kuangalia utayari wa timu hizi 24. Timu hizo za ziada ni:
  1. Hafia - Guinea
  2. Berkane - Morocco
  3. Asante Kotoko - Ghana
  4. Young Africans - Tanzania
  5. Africa Sports - Ivory Coast
  6. USM Algiers - Algeria
  7. Pyramids - Egypt
 
Hii ndiyo list ya awali ya timu 24 zinakazocheza katika toleo lijalo la African Football League.

Waandaaji wa AFL ambayo ni taasisi inayojitegemea imeona ni muhimu nchi zile ambazo zinajulikana zaidi kwa mpira Africa lazima zipewe uwakilishi pamoja na kwamba katika level za club wamekuwa hawana timu kubwa katika miaka ya
  1. Pyramids - Egypt
Hakika ugonjwa wa akili ni tatizo...Usiache kumeza vidonge....
 
Hii ndiyo list ya awali ya timu 24 zinakazocheza katika toleo lijalo la African Football League.

Waandaaji wa AFL ambayo ni taasisi inayojitegemea imeona ni muhimu nchi zile ambazo zinajulikana zaidi kwa mpira Africa lazima zipewe uwakilishi pamoja na kwamba katika level za club wamekuwa hawana timu kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hii ni kwa sababu ni rahisi zaidi kuiuza Senegal au Ghana kimataifa kwenye masuala ya mpira kuliko Tanzania
Kweli vichaa awataisha milembe sio Siri, mi nikajua kuna official statement kutoka caf inayothibitisha kuwa yanga aitokuwemo kumbe unatuletea habari za kusadikika hapa? Mo ataendelea kuwaburuza sana kwa stahili hii!
 
Inaonekana kombe hilo ni kombe la rushwa. Kama ni kweli, Yanga waachane nalo.waacheni madunduka wendelee kuhonga huko tafefe waendelee kupigiwa chapuo.ili mwalabu wao wa masodasoda wa madunduka aendelee kupiga hela yake.
 
Sio rahisi mzee na acha propaganda, haya mashindano yapo kibiashara zaidi na hata wadhamini waliopo wanategemea Engagement ya fans.. Kwa miaka ya karibuni hasa kuanzia mwaka huu Yanga inauzika sana kwenye masuala ya fans engagement ukitaka uamini hilo japokuwa najua hutakubaliana na hilo angalia hata kwenye page za CAF za Facebook, insta na twitter reaction yake pale ambapo itatajwa yanga..

Post ya vile vikadi vya ligi ya mabingwa iliyohusi yanga ilipata kikes na comments za kutosha kuliko post zote, hakuna mtu mpumbavu ambaye hataiacha timu ya hivyo kwenye mashindano ambayo yamekaa kibiashara zaidi, mwaka huu kwa sababu walikuwa wanatest mitambo ndio maana wakaanza na simba iliyokuwa na engagement kubwa miaka miwili ya nyuma kuliko yanga usitegemee mwakan itakuwa the same
 
Hii ni kwa sababu ni rahisi zaidi kuiuza Senegal au Ghana kimataifa kwenye masuala ya mpira kuliko Tanzania au Kenya kwa mfano.👆👆👆👆

Hoja yako hiyo ni ya kipuuzi yaan, moira unauzika zaidi Uganda na Botswana kuliko hata Tanzania?! yaan Botswana na Uganda ambapo hata kuwe na mechi ya derby uwanja haujai na huwa always wanawish kuwa kama Tanzania ndio waingize Timu iachwe yanga?!
 
Hii ni kwa sababu ni rahisi zaidi kuiuza Senegal au Ghana kimataifa kwenye masuala ya mpira kuliko Tanzania au Kenya kwa mfano.👆👆👆👆

Hoja yako hiyo ni ya kipuuzi yaan, moira unauzika zaidi Uganda na Botswana kuliko hata Tanzania?! yaan Botswana na Uganda ambapo hata kuwe na mechi ya derby uwanja haujai na huwa always wanawish kuwa kama Tanzania ndio waingize Timu iachwe yanga?!
Huu siyo mtazamo wangu bloo, waulize wahusika. Ila kumbuka kwenye rank za FIFA na CAF, Uganda wametuacha mbali sana usiwachukulie poa.
 
Yanga amekusanya points 25 za CAF na yupo Port 3 akifanya vizuri msimu huu akifikisha points 35 anaenda port 2 wakati Al Ahly anaeongoza ana points 53 na makombe yake yote hapo pana Timu umeziweka hata points 10 za mashindano ya CAF hawana...
Mshindi klab bingwa ni point 6 na wapili ni point 5. Shirikisho mshnd point 5 na wapili point 4. Hzo point 25 yanga amezipata wapi? Acheni kudanganyana nyie
 
Mshindi klab bingwa ni point 6 na wapili ni point 5. Shirikisho mshnd point 5 na wapili point 4. Hzo point 25 yanga amezipata wapi? Acheni kudanganyana nyie
Daah haujui kabisa mpira mkuu Yanga kabla hajashiriki alikua na point moja ya miaka ya nyuma msimu mmoja kakusanya point 21 vitu ni rahisi uliza Timu ikifika fainal inapata point ngapi sio makundi...
 
Sio rahisi mzee na acha propaganda, haya mashindano yapo kibiashara zaidi na hata wadhamini waliopo wanategemea Engagement ya fans.. Kwa miaka ya karibuni hasa kuanzia mwaka huu Yanga inauzika sana kwenye masuala ya fans engagement ukitaka uamini hilo japokuwa najua hutakubaliana na hilo angalia hata kwenye page za CAF za Facebook, insta na twitter reaction yake pale ambapo itatajwa yanga..

Post ya vile vikadi vya ligi ya mabingwa iliyohusi yanga ilipata kikes na comments za kutosha kuliko post zote, hakuna mtu mpumbavu ambaye hataiacha timu ya hivyo kwenye mashindano ambayo yamekaa kibiashara zaidi, mwaka huu kwa sababu walikuwa wanatest mitambo ndio maana wakaanza na simba iliyokuwa na engagement kubwa miaka miwili ya nyuma kuliko yanga usitegemee mwakan itakuwa the same
Facebook haijazi uwanja
 
Back
Top Bottom