Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,145
- 27,118
Pole sanaMaajabu.
Hadi sasa sijaona funcargo.
Nikifikiri itakuwa ya kwanza.
Halafu mmeisema passo hadi roho imeniuma.
Pole sanaMaajabu.
Hadi sasa sijaona funcargo.
Nikifikiri itakuwa ya kwanza.
Halafu mmeisema passo hadi roho imeniuma.
Hizo ni toys za kuchezea watoto miaka 4 mpaka 12.....kwenye compound ya ndani ya nyumba ndio purpose yake ilikuwa hiyo muwe mnasoma historia ya magari kabla ya kununuaJamani magari mengine walitengeneza kwa ajili ya house girls na boys kuendea supermarket nyie mnataka mpigie misele mjini
Mkuu ww una swift nini!?Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.
Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Uko sahihi...kejeli nyingi wakati hata hela ya hizo passo hawana, ndo mana mtoa mada anawaza zawadi, eti nikipewa zawadi.. Hapo ndo nikaona utoto bado unamsumbua!Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.
Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Lengo la huu uzi ni kwamba kuna vigari tunaendesha hatuvipendi na tungependa kuendesha Rolls-Royce,Bentley,Vogue na Mashine zingine siyo haya makopo.Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.
Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Kama haujaweka funcargo no.1 uzi wako ni batili au tuandamaneHabarini Wakuu,
Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah..
Upo sahihi kabisa Mkuu!Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.
Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Uzi umetawaliwa na wamiliki wa VX tupu!Wewe tangu june 2018 unafanya mchakato wa kununua hadi leo bado unatafuta ushauri. Amka toa hilo godoro hapo sebuleni shemeji apite.
Sio kama wanaendesha ila ukiwa unaondoka ofisini umeshika funguo zako wao ndio wa kwanza kukuuliza mtani unapita njia ipi leo unibebe utafikili wao ndio maroad surveyor!!Afu wengi wenu humu utakuta wanaendesha gari hizo hizo ila kujimwambafai , nisamehe Kiduku Lilo wewe si mmoja kati yao.
Unamiliki gari gani mkuu?Una uhakika sijatimiza malengo yangu mpaka leo?
I'm owning my dream car,