Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
26,103
34,063
Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah

Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.

Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.

Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:

images%20(39).jpg
images%20(64).jpg
Suzuki_ALTO_VAN_VP_(HA36S)_front.jpg
 
Back
Top Bottom