Hizi flagship zitatuua na pressure aisee

Hizi flagship zitatuua na pressure aisee

Nimenunua Samsung Galaxy S10 plus duos dukani kwa bei ya shilingi 700k ila kabla sijafika mbali nikaingia kwanza mgahawani kupata soda maana jua ni kali sana nje huku nafanya settings za hio simu nimeingia kwenye email na google account kuna account ya mtu imesajiliwa nikasema sio tabu nikai reset wapi hazifutiki nikaireset teka account za hilo jina hazifutiki

Nikarudi pale dukani mbio namwambia alieniuzia vipi mbona simu ina account za mtu mwingine alafu hazifutiki nikamwambia nipe simu nyingine ili nii unibox mwenye akaanza ooh unajua hizi simu sio mpya zinakujaga zimeisha tumika kwahio hata nikikikupa nyingine utarudi tu ilete tukuflashie kwenye computer ili iwe sawa.

Nikasema hapana nimeghaili nipe simu mpya tu A series akasema kwa pesa yako inatoshea A32 na infinix zero x pro sasa nimekaa nalinganisha specification za simu hizo mbili naona infinix zero x pro anamfunika Samsung A32 imenibidi nichukue tu hiyo infinix zero x pro kwa 700k lakini nimefika home akili haitulii eti kwa nini nimenunua infinix kwa 700k au hao waarabu watakuwa wanatumia mizizi ya kumlagahai mteja!
Simu upigwe na wajanja wa Kariakoo usingizie Waarabu? Ujuha huo.


Wewe unauziwa simu huelewi kuwa hii mpya, hii refurbished? umekwenda umeeleweshwa kuwa hii ni used na hata tukikupa nyingine ni yale yale labda chukuwa hii au hii, ukubali mwenyewe usingizie "Waarabu", wachei ujinga huo.
 
Yaaan nmeumia kinoma,mtoa mada ungekuwa karibu ningekupiga makofi nipunguze uchungu,yaan unatoa 700k kununua infinix kwel??...c bora hata ungeenda kwa redmi note 10 pro max ungepata kitu bora kwa hyo pesa yako,why why mtoa mada? Nmesononeka mno
 
Nimenunua Samsung Galaxy S10 plus duos dukani kwa bei ya shilingi 700k ila kabla sijafika mbali nikaingia kwanza mgahawani kupata soda maana jua ni kali sana nje huku nafanya settings za hio simu nimeingia kwenye email na google account kuna account ya mtu imesajiliwa nikasema sio tabu nikai reset wapi hazifutiki nikaireset teka account za hilo jina hazifutiki

Nikarudi pale dukani mbio namwambia alieniuzia vipi mbona simu ina account za mtu mwingine alafu hazifutiki nikamwambia nipe simu nyingine ili nii unibox mwenye akaanza ooh unajua hizi simu sio mpya zinakujaga zimeisha tumika kwahio hata nikikikupa nyingine utarudi tu ilete tukuflashie kwenye computer ili iwe sawa.

Nikasema hapana nimeghaili nipe simu mpya tu A series akasema kwa pesa yako inatoshea A32 na infinix zero x pro sasa nimekaa nalinganisha specification za simu hizo mbili naona infinix zero x pro anamfunika Samsung A32 imenibidi nichukue tu hiyo infinix zero x pro kwa 700k lakini nimefika home akili haitulii eti kwa nini nimenunua infinix kwa 700k au hao waarabu watakuwa wanatumia mizizi ya kumlagahai mteja!
Huyo ni tapeli. Na kosa unalofanya ni moja kumchekea wakati anacheza na pesa yako na akili yako. Laki saba ni pesa nyingi sana kupewa simu ya ajabu ajabu kwa pesa nyingi hivyo ni bora ungeagiza mtu huko China akuletee simu kama Oppo au Huawei at least ungekuwa umepatia simu kiwango. Sio hiyo remix ya Tecno.

Kosa ulilofanya ni kupokea offer yake ya pili baada ya zoezi lake la kwanza la kukutapeli kufeli. Ulitakiwa umbadilikie umwambie chukua simu yako nipatie pesa yangu nitafute simu mahala pengine maana yeye ndie kaharibu makubaliano.
 
Brother ukienda dukani uwe umeshafanya research unataka kununua nini, kamwe usibadilishe mawazo yako. Muuzaji ana kupa ushauri ununue bidhaa nyingine kwa faida yake sio yako.
Exactly. Mimi nilishanunulishwa viatu oversized sababu wauzaji walikuwa wananizonga na kunambia hivyo havina shida nikavaa napendeza.

Nimefika home navaa naviona hivi viatu sio size kabisa. Kesho nikarudi kuwaambia wanibadilishie. Wakanigomea kabisa kuvirudisha wakagoma.

Wanasema wewe ukishanunua kitu na kuondoka nacho unakirudishaje tena sokoni. Nikawaambia mbona hata sijavivaa kabisa wala hata kutembea navyo zaidi ya kuvijaribu tu. Wakanikomalia ile ya kugoma kabisa.

Nikasema haina noma nikaachana nao. Tokea siku hiyo nikitaka kununua kitu muuzaji akianza kulazimisha ninunue au kunishawishi nichukue anachosuggest yeye kwa usalama wa pesa yangu huwa naondoka kimya bila kuongea lolote maana najua nikiendelea kumsikiliza jitajikuta nimenunua kitu ambacho baadae nitajutia .
 
Nimenunua Samsung Galaxy S10 plus duos dukani kwa bei ya shilingi 700k ila kabla sijafika mbali nikaingia kwanza mgahawani kupata soda maana jua ni kali sana nje huku nafanya settings za hio simu nimeingia kwenye email na google account kuna account ya mtu imesajiliwa nikasema sio tabu nikai reset wapi hazifutiki nikaireset teka account za hilo jina hazifutiki

Nikarudi pale dukani mbio namwambia alieniuzia vipi mbona simu ina account za mtu mwingine alafu hazifutiki nikamwambia nipe simu nyingine ili nii unibox mwenye akaanza ooh unajua hizi simu sio mpya zinakujaga zimeisha tumika kwahio hata nikikikupa nyingine utarudi tu ilete tukuflashie kwenye computer ili iwe sawa.

Nikasema hapana nimeghaili nipe simu mpya tu A series akasema kwa pesa yako inatoshea A32 na infinix zero x pro sasa nimekaa nalinganisha specification za simu hizo mbili naona infinix zero x pro anamfunika Samsung A32 imenibidi nichukue tu hiyo infinix zero x pro kwa 700k lakini nimefika home akili haitulii eti kwa nini nimenunua infinix kwa 700k au hao waarabu watakuwa wanatumia mizizi ya kumlagahai mteja!
Hiyo Simu uliyonunua sio mbaya,ni nzuri na Wala usiwaze Wala kujikera. Pia Infinix zinakaa na chaji.
 
Huo ni ulaghai, kwanini aisikwambie toka mwanzo kuwa simu sio brand new ni used ilikotoka. Ungewaambia wakupe mkwanja wako tu.

Biashara za bongo janja janja.
Kitendo cha kuuzwa laki 7 inatosha kujua kuwa ni used
Huwezi kupata S10+ kwa bei bei hiyo
 
Kitendo cha kuuzwa laki 7 inatosha kujua kuwa ni used
Huwezi kupata S10+ kwa bei bei hiyo
Angesema kuliko kuchukua simu anaiweka kwenye box kama mpya, unahisi ni watu wangapi wanazinunua wakifikiri ni mpya. Maana lengo hapo ni kuwaaminisha wanunuzi kuwa ni mpya. Huo ni ulaghai
 
Hata mimi nimekuona boya kwakubuy Infinix kwa 700k.
Umepigwa bro
Ndo bei yake

Screenshot_2022-04-03-12-19-07-992_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
 
Back
Top Bottom