Hizi flagship zitatuua na pressure aisee

Hizi flagship zitatuua na pressure aisee

Bibi mbona unawatetea sana waarabu kunani hapo?
Wewe ulijuwaje Mwarab?, Kwa kuambiwa na huyo wakuja aliyebamizwa simu? Hao hawana exposure, kila wanaemuona Kariakoo kwao ni Mwarabu tu. Na wewe ni wale wale nini?
 
Kwahio mkuu nisiwaze sana sijapigwa ndio bei zake kulingana na specification zake ina feature nzuri kama hii ya kuzoom picha ilioko mbali ×60
shida ya infinix regardless of specx utaenjoy kwa miez 6 tu baada ya hapo ni shida tupu...ful ku stack stack na ubora wa camera unapungua
 
Yaani unaenda kununua S10 Samsung matokeo yake unarudi na Infinx, pole sana mzee...
Hadi unachomoa 700k na kumkabidhi mwenye duka lazima uwe umejiridhisha na bidhaa husika.

Haiwezekani ununue simu kama unanunua malimao sokoni...

Binafsi kununua Infinx ama Tecno zaidi ya laki tatu ni matumizi mabaya ya fedha.
Kwanini ununue tecno kwa laki tatu wakati kuna Nokia, Samsung A10s mpaka A20 kwa bei hizohizo? Jamaa kweli akili iko mbali, infinix kwa laki 7? Hapana kwa kweli.
 
Angesema kuliko kuchukua simu anaiweka kwenye box kama mpya, unahisi ni watu wangapi wanazinunua wakifikiri ni mpya. Maana lengo hapo ni kuwaaminisha wanunuzi kuwa ni mpya. Huo ni ulaghai
Yaani mkuu upewe simu kwenye box, sealed. Nawe unakubali kabisa utoke nayo hapo dukani? Tena kkoo? Hapana.

Simu walau iwe sealed uagize nje au ununue posta, hapo una confidence ya kuifungulia home, mimi nilienda na jamaa yangu china Plaza pale, nkamwambia hakuna kuchukua simu kwenye box hapa, kila kitu kifunguliwe tutest hapa hapa.

Ni kweli bhana, ilikuwa na scratch kwa mbaali, nikamwambia jamaa hakuna kuchukua, tukapewa kitu kipya kabisa.
 
Not true, nimetumia infinix mwaka 1 na nusu kabla ya kuhamia Sumsung.

Shida niliyoona ni kuwa na ads kibao na ukizifuta apps usizotaka baadae zinarudi tatizo ambalo silioni kwa Sumsung.

Hiyo alonunua mdau cjaitumia, so kwa matumizi ya kawaida sidhani kama ina shida.

Anyway, kwa comments za humu unaweza kuichukia simu yako hata kama ni nzuri.

Nilichojifunza ni kuridhika kwa kile nikiwezacho na kadili uchumi unavyokua ndo natafuta vya juu nitakavyoweza.

Kwa mnunuaji: Love what u got, enjoy it na kama ni genuine product haitakusumbua, trust me!
Nimekuelewa ulivyofafanua lakini naomba kuuliza sumsung ndo samsung?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom