Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Ulishindwa ata kunipgia simu nikupe hii pixel kwa 400k
Wewe mwenye ndio hujatuliza akili pesa ya poco f3 mpya kabisa hapo mjini aliexpress ,au masoko mengine badiliken muanze kujifunza na kuagiza vitu nje mtakuja nishukuru siku mojaNimenunua Samsung Galaxy S10 plus duos dukani kwa bei ya shilingi 700k ila kabla sijafika mbali nikaingia kwanza mgahawani kupata soda maana jua ni kali sana nje huku nafanya settings za hio simu nimeingia kwenye email na google account kuna account ya mtu imesajiliwa nikasema sio tabu nikai reset wapi hazifutiki nikaireset teka account za hilo jina hazifutiki
Nikarudi pale dukani mbio namwambia alieniuzia vipi mbona simu ina account za mtu mwingine alafu hazifutiki nikamwambia nipe simu nyingine ili nii unibox mwenye akaanza ooh unajua hizi simu sio mpya zinakujaga zimeisha tumika kwahio hata nikikikupa nyingine utarudi tu ilete tukuflashie kwenye computer ili iwe sawa.
Nikasema hapana nimeghaili nipe simu mpya tu A series akasema kwa pesa yako inatoshea A32 na infinix zero x pro sasa nimekaa nalinganisha specification za simu hizo mbili naona infinix zero x pro anamfunika Samsung A32 imenibidi nichukue tu hiyo infinix zero x pro kwa 700k lakini nimefika home akili haitulii eti kwa nini nimenunua infinix kwa 700k au hao waarabu watakuwa wanatumia mizizi ya kumlagahai mteja!
Pole sana..Nimenunua Samsung Galaxy S10 plus duos dukani kwa bei ya shilingi 700k ila kabla sijafika mbali nikaingia kwanza mgahawani kupata soda maana jua ni kali sana nje huku nafanya settings za hio simu nimeingia kwenye email na google account kuna account ya mtu imesajiliwa nikasema sio tabu nikai reset wapi hazifutiki nikaireset teka account za hilo jina hazifutiki
Nikarudi pale dukani mbio namwambia alieniuzia vipi mbona simu ina account za mtu mwingine alafu hazifutiki nikamwambia nipe simu nyingine ili nii unibox mwenye akaanza ooh unajua hizi simu sio mpya zinakujaga zimeisha tumika kwahio hata nikikikupa nyingine utarudi tu ilete tukuflashie kwenye computer ili iwe sawa.
Nikasema hapana nimeghaili nipe simu mpya tu A series akasema kwa pesa yako inatoshea A32 na infinix zero x pro sasa nimekaa nalinganisha specification za simu hizo mbili naona infinix zero x pro anamfunika Samsung A32 imenibidi nichukue tu hiyo infinix zero x pro kwa 700k lakini nimefika home akili haitulii eti kwa nini nimenunua infinix kwa 700k au hao waarabu watakuwa wanatumia mizizi ya kumlagahai mteja!
Kwa Samsung used kupata nzuri na nzima nikubahatisha labda mpya na mpya kwa bei hiyo unapata samsung A32 ambayo inakalishwa pakubwa na hii zero x proHiyo simu inawezekana hujapigwa kwa maana yakwamba ndio bei zake hizo
Tatizo hapa ni kwamba ubora wa hiyo simu kulinganisha na simu za kampuni makini ndio tatizo
Kwa hiyo 700k ungeweza kupata simu kali sana mpya au used Kwa Samsung, Oppo
Poco f3 kibongo bongo bei yake imesimama ni zaidi ya 1,000,000 na hiyo kuagiza kwa 700,000 kunakupigwa na kitu kizito au kuipataWewe mwenye ndio hujatuliza akili pesa ya poco f3 mpya kabisa hapo mjini aliexpress ,au masoko mengine badiliken muanze kujifunza na kuagiza vitu nje mtakuja nishukuru siku moja


. Ukinipa kauli za hivyo naishia kukuangaliaaa na kusema hiiii! Bora uwe na uma na kijiko halafu ndio unishauri hivyo kwa mbaaaali naweza nikajaribu kukuelewa kama nitaweza. Acha uongo unapigwaje last tym niliipata kwa 7na 80 kulikua na sell kule alie ,pia nikadaka version ya kichina k40 kwa 690000 mjini taobaoPoco f3 kibongo bongo bei yake imesimama ni zaidi ya 1,000,000 na hiyo kuagiza kwa 700,000 kunakupigwa na kitu kizito au kuipata
Mkuu mie nilikua kilaza wa mwisho ila nilipotuliza akili na kujifunza kupitia manguli wa humu kidogo namshukuru Allah nimeivaPoco f3 kibongo bongo bei yake imesimama ni zaidi ya 1,000,000 na hiyo kuagiza kwa 700,000 kunakupigwa na kitu kizito au kuipata
Kambale hawezi kuwa Sato...Infinix zero x pro ni simu nzuri sana tatizo watu wanataja tu INFINIX bila kuangalia specifications zake
Not true, nimetumia infinix mwaka 1 na nusu kabla ya kuhamia Sumsung.Hiyo simu baada ya miezi sita inaanza kujiwasha tochi, kutuma meseji na kujibu..kama unapicha za ajabu atashangaa imetuma kwenye group la familia.
Du. Hii ni kali. Kumbe Bongo ni mpaka uifungue na ku-test hapo hapo? Mimi nimezoea majuu unaichukuwa kwenye box unakwenda kufungulia nyumbani na unakuta kila kitu kipya na kiko sawa!Ninachokiona huna uzoefu wa bei za simu na simu zenyewe...
Huwezi ondoka dukani hujatest simu wala kuifanyia settings za awali...
Tatizo wengi hawafatilii simu ni hvi hzi S series Samsung kwa hapa bongo kuanzia S8,S9,S10 na S20 kwa sasa hapa bongo hakuna mpya hzo unazoona kariakoo zote ni refurb asikudanganye mtu eti S10 full boksi mpya ni ujanja....Du. Hii ni kali. Kumbe Bongo ni mpaka uifungue na ku-test hapo hapo? Mimi nimezoea majuu unaichukuwa kwenye box unakwenda kufungulia nyumbani na unakuta kila kitu kipya na kiko sawa!
Du. Hii ni kali. Kumbe Bongo ni mpaka uifungue na ku-test hapo hapo? Mimi nimezoea majuu unaichukuwa kwenye box unakwenda kufungulia nyumbani na unakuta kila kitu kipya na kiko sawa!
Bibi mbona unawatetea sana waarabu kunani hapo?Simu upigwe na wajanja wa Kariakoo usingizie Waarabu? Ujuha huo.
Wewe unauziwa simu huelewi kuwa hii mpya, hii refurbished? umekwenda umeeleweshwa kuwa hii ni used na hata tukikupa nyingine ni yale yale labda chukuwa hii au hii, ukubali mwenyewe usingizie "Waarabu", wachei ujinga huo.
hahaahhaahhahahhNimenunua Samsung Galaxy S10 plus duos dukani kwa bei ya shilingi 700k ila kabla sijafika mbali nikaingia kwanza mgahawani kupata soda maana jua ni kali sana nje huku nafanya settings za hio simu nimeingia kwenye email na google account kuna account ya mtu imesajiliwa nikasema sio tabu nikai reset wapi hazifutiki nikaireset teka account za hilo jina hazifutiki
Nikarudi pale dukani mbio namwambia alieniuzia vipi mbona simu ina account za mtu mwingine alafu hazifutiki nikamwambia nipe simu nyingine ili nii unibox mwenye akaanza ooh unajua hizi simu sio mpya zinakujaga zimeisha tumika kwahio hata nikikikupa nyingine utarudi tu ilete tukuflashie kwenye computer ili iwe sawa.
Nikasema hapana nimeghaili nipe simu mpya tu A series akasema kwa pesa yako inatoshea A32 na infinix zero x pro sasa nimekaa nalinganisha specification za simu hizo mbili naona infinix zero x pro anamfunika Samsung A32 imenibidi nichukue tu hiyo infinix zero x pro kwa 700k lakini nimefika home akili haitulii eti kwa nini nimenunua infinix kwa 700k au hao waarabu watakuwa wanatumia mizizi ya kumlagahai mteja!