100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,157
Mmh haiwezekani, huenda walikuwa kwenye stori zao zingine hilo jibu hakupewa yeye
Umeiona hiyo video?
Mmh haiwezekani, huenda walikuwa kwenye stori zao zingine hilo jibu hakupewa yeye
hahahaha kwenye mtumba hizo haizizdi 6000/=MZEE KATUPIA RABA KALI KINYAMA YAAN
Nimeona ila hayo maneno sijayasikiaUmeiona hiyo video?
Afu nadhani hizo raba na pamba ni za mtumba.Leo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285View attachment 1053286
CC Zero IQ
Utakuwa uliyoiona ni nusu. Iko ananyanyuka kuelekea mezani akawaongelesha wanaokula.Nimeona ila hayo maneno sijayasikia
Nimeona hadi huko si imeonyeshwa na meza kabisa waliyokaaUtakuwa uliyoiona ni nusu. Iko ananyanyuka kuelekea mezani akawaongelesha wanaokula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulitaka fenicha za ndani ya nyumba zikae kama ndani ya basi (bus)?Hakuwa na ujasiri wa kwenda uwanjani? Na hiyo TV kwa nini imewekwa upande. Yaani muda wote unakunja shingo? Ni ikulu hapo kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabtula ndio nini?!! Mimi umeniacha hapo Mkuu.Naomba nikusaidie! Kwa mtu aliyesoma enzi za JPM hawezi vaa kabtula maana uniform zilikuwa ni kabtula hivyo ukimaliza shule unachukia kabtula hadi unaingia kaburini. Hivyo hawezi ivaa
Kuna kaptula na kabtula ingawa maneno yote yana maana sawaKa
Kabtula ndio nini?!! Mimi umeniacha hapo Mkuu.
Haijakaa upande hiyo ni curveHakuwa na ujasiri wa kwenda uwanjani? Na hiyo TV kwa nini imewekwa upande. Yaani muda wote unakunja shingo? Ni ikulu hapo kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuvaa ma truck suit usawa huu wa joto ni ushamba! Wewe mwanajeshi nini? Sasa hivi ni mwendo wa pamba za cotton tu, truck suit gani ni cotton na jua hili..Kuna umri ukishafika lazima mavazi yabadilike,mtu yupo home sidhani kama angepiga suti na Mchongoko(MOKASINI),mie naona angepiga Tracksuit za Tanzania na Raba hizo hizo ingependeza zaidi.
Acha ujinga, ungeuliza kwa nini amevaa viatu kitandani...Kwa nini anavaa viatu ndani?
Hamna kosa rais nae ni mtu na familia pale ni nyumbni yupo huru ndio maana hata walinzi huwaoni pale wapo nje huko.Kosa Ni la Mwenye Camera kuto edit hicho kipande
Rais alikuwa yupo sebuleni anaangalia TV,Hapo Sebuleni baridi la hapo "MAKAMBAKO,MUFINDI" inasubiri.Kuvaa ma truck suit usawa huu wa joto ni ushamba! Wewe mwanajeshi nini? Sasa hivi ni mwendo wa pamba za cotton tu, truck suit gani ni cotton na jua hili..
Sent using Jamii Forums mobile app
ila stylist wa huyu baba inabidi ashtakiwe na jamhuri daahLeo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285View attachment 1053286
CC Zero IQ