titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,572
- 9,764
Kama mkulima wa pamba anayefuatilia malipo yake ushirika baada ya kuvuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bonge la trainers hata mimi ntaanza kuzivaa ni style unique haina kulemba.Acha kumdiss prezida katupia kinyama. Chini ana skandodos za mchina juu kala snapback kali za kileo tu. Hivyo alivyovaa angevaa chrisbrown mgeona ndio swaga na mngejazana kariakoo kununua hizo raba na cap kwa bei mbaya tu! Acheni unafiki!
😂😂😂😂Mkuu bonge la trainers hata mimi ntaanza kuzivaa ni style unique haina kulemba.
Hizo raba kwa hisani ya Mabeberu
Hahahaha angeomba ushauri hata kwa JK, atoke vipi?nimecheka mm Kumbe na ww umeviona😂😂angalia vigoti sasa 😂😂😂
balaa sana..nimecheka jana sanaHahahaha angeomba ushauri hata kwa JK, atoke vipi?
Naomba nikusaidie! Kwa mtu aliyesoma enzi za JPM hawezi vaa kabtula maana uniform zilikuwa ni kabtula hivyo ukimaliza shule unachukia kabtula hadi unaingia kaburini. Hivyo hawezi ivaa
Tatizo Nyayo za miguu zinaoneka tudogo viatu vikubwabalaa sana..nimecheka jana sana
Hahaha..mimi mwenyewe amenishangaza sana,anamjibu vipi raisi vile tena kwenye camera.
JPM na wengine hapa JFJPM??au JKN
Pale ni nyumbani na yule ni mkewe. Utani wa mke na mume unataka muulete kwenye urais?Hahaha..mimi mwenyewe amenishangaza sana,anamjibu vipi raisi vile tena kwenye camera.
Safi mkuu! Wanataka kugeuza ni agenda kama kawaida yao.Ndugu yangu pale ni nyumbani, rais anayo maisha yake nnje ya urais. Pale alikuwa magufuli na familia yake na sio rais na watanzania. Magu kwako ni rais lkn kwa mama Janet yule ni mume wake, nothing else
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh haiwezekani, huenda walikuwa kwenye stori zao zingine hilo jibu hakupewa yeyeMie nimependa kuna Mtu kaambiwa Na Rais nyie mnaokula shangilieni akamwambia Na Wewe tutokeee hapo, duuh anamjibu jibu Rais wetu Bila ya adabu
Ndo binadamu walivyo. Ukikosea wanakusema ka vile wao hawakosei! No matter what, we should respect our elders!JF inafurahisha sana. Watu wanapenda kuponda wenzao kwenye kila idara. Inaonesha wao wako perfect kwenye kila idara.