Hizi baskeli za wajumbe zimenunuliwa na pesa ya nani n zanini??

Hizi baskeli za wajumbe zimenunuliwa na pesa ya nani n zanini??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Nimeona wachaga wanalalamika kupewa basikeli mbovu

Jana nikaenda kwa mjumbe rafiki yangu ananionyesha box la baiskeli

nkamwonyesha hii picha walizogaiwa moshi nkamshauri wauzie wanyasa kabla ujaliaa

now anakunywa pale Manville pub

Swali hizi basikelii za nani nani amenunua na kwa pesa ya nani
Na zifanyie nini anyway

Wajumbe mje mtupe hints kidogoo
 

Attachments

  • Screenshot_20250830-163840_Lite.jpg
    Screenshot_20250830-163840_Lite.jpg
    182.6 KB · Views: 16
Nimeona wachaga wanalalamika kupewa basikeli mbovu

Jana nikaenda kwa mjumbe rafiki yangu ananionyesha box la baiskeli

nkamwonyesha hii picha walizogaiwa moshi nkamshauri wauzie wanyasa kabla ujaliaa

now anakunywa pale Manville pub

Swali hizi basikelii za nani nani amenunua na kwa pesa ya nani
Na zifanyie nini anyway

Wajumbe mje mtupe hints kidogoo
Kama watoto watanililia waambie kesho nitareja, wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea!
 
Nimeona wachaga wanalalamika kupewa basikeli mbovu

Jana nikaenda kwa mjumbe rafiki yangu ananionyesha box la baiskeli

nkamwonyesha hii picha walizogaiwa moshi nkamshauri wauzie wanyasa kabla ujaliaa

now anakunywa pale Manville pub

Swali hizi basikelii za nani nani amenunua na kwa pesa ya nani
Na zifanyie nini anyway

Wajumbe mje mtupe hints kidogoo
We bwege umeandika nini kasome tena
 
Nimeona wachaga wanalalamika kupewa basikeli mbovu

Jana nikaenda kwa mjumbe rafiki yangu ananionyesha box la baiskeli

nkamwonyesha hii picha walizogaiwa moshi nkamshauri wauzie wanyasa kabla ujaliaa

now anakunywa pale Manville pub

Swali hizi basikelii za nani nani amenunua na kwa pesa ya nani
Na zifanyie nini anyway

Wajumbe mje mtupe hints kidogoo

Hawa watu wamesema uongo sasa hivi wanaanza kujidanganya wenyewe...watu wameanza kuzinduka
 
Back
Top Bottom